@Madame_SWengine hutafta mabanda ya karibu wakiona wenzao ndio wanaitwa mateka kama una moyo mdogo waweza usiwafuge hawasemwi vibaya kama kuku au mfugo mwengine wanapenda kupeana romance s mchezo
dunh noma sana kwa hiyo njiwa wanadeka kuliko wanawake wajawazito
*nasikia hata ukinyoa kiduku wanaondoka, ukivaa jezi ya arsenal ndo wanabeba na kibanda kabisa
Wanatafuta umbea tu kwako kwa maana walevi huropoka sana wakilewa.we muongo muongo mbona mi mlevi lakini njiwa wa mtaa mzima wanashinda kwangu???
unawajulishaje mkuuNaiskiaga hii tu toka kitambo mkuu, kumbe kuna zaidi ya hii ya kujulishwa msiba ingawa mimi nilisikia kuwa usipowajulisha msiba wanazira kula! Si kuondoka
Sasa unawajulishaje msiba kama upo? Yaani unawasiliana nao kivipi?Naiskiaga hii tu toka kitambo mkuu, kumbe kuna zaidi ya hii ya kujulishwa msiba ingawa mimi nilisikia kuwa usipowajulisha msiba wanazira kula! Si kuondoka
dunh noma sana kwa hiyo njiwa wanadeka kuliko wanawake wajawazito
*nasikia hata ukinyoa kiduku wanaondoka, ukivaa jezi ya arsenal ndo wanabeba na kibanda kabisa
@Madame_S
Hata mimi wamehamia home hata sijui wametokea wapi ila nilichofanya ni kuwatengeneza banda wakaeMi naombeni njia za kuwatimua tuu,wamehamia kwangu na wamezaliana mnoo,kila siku wanadondosha ceilling board za kuzunguka nyumba,nawatwanga manati ila ndio kama nimewaongezea kasi ya kuzaliana...
Nyongeza:
Hawapendi kusikia sauti za mahaba/za kubanjuana toka kwa binadamu.
Inashauriwa kuweka banda lao mbali na vyumba vya watu wazima ambao daily wanagegedana tena kavukavu.
Usipofanya hivyo njiwa watatomb@n@ sana na kushindwa kupata muda wa kula na hatimaye kufa wote kwa njaa!!
we nduza Kweli aisee
pia jezi ya Madrid au man u.
Pia wakimuona pogba hawakai kabisa.
Mkuuukitaka wazaliane gonga ya Barcelona
Kama wewe ndo unawafunga siku ukifa wanajua na ukisha zikwa wanaondoka woteNaiskiaga hii tu toka kitambo mkuu, kumbe kuna zaidi ya hii ya kujulishwa msiba ingawa mimi nilisikia kuwa usipowajulisha msiba wanazira kula! Si kuondoka