Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,738
Babu yangu alifuga nguruwe na walikuwa wengi ila alipigwa vita sana Wana Kijiji.
Miaka ilivozidi kwenda wale walio mpiga vita wengi wao walituumiwa kwa uchawi sana.
Nguruwe ni mnyama pendwa sana ambaye unaweza kumaliza kuanzia kilo Moja peke yako.
Nguruwe ni dawa tosha kwa mapepo ndio maana sehemu hazipo malalamiko mengi.
Popo bawa anaishia mbagara tu kushuka kusini sababu hakuna mla kitimoto.
Kitimoto anakupa amasa ya kutafuta pesa na kuacha unafiki.
Kuna wafia dini ila wanapenda kisicho na mafuta wakiita "waakati".
Kitimoto hakibagui kuanzia mnywa soda na pombe.
Miaka ilivozidi kwenda wale walio mpiga vita wengi wao walituumiwa kwa uchawi sana.
Nguruwe ni mnyama pendwa sana ambaye unaweza kumaliza kuanzia kilo Moja peke yako.
Nguruwe ni dawa tosha kwa mapepo ndio maana sehemu hazipo malalamiko mengi.
Popo bawa anaishia mbagara tu kushuka kusini sababu hakuna mla kitimoto.
Kitimoto anakupa amasa ya kutafuta pesa na kuacha unafiki.
Kuna wafia dini ila wanapenda kisicho na mafuta wakiita "waakati".
Kitimoto hakibagui kuanzia mnywa soda na pombe.