Domcity Farming Center
Member
- Jun 25, 2021
- 11
- 47
MAMBO YA KUZINGATIA KABLA HAUJAANZA KUFUGA KUKU KIBIASHARA
1. AVAILABILITY (uwepo wako)
Kabla ya kuanza ufugaji wa kuku kibiashara hakikisha unapata nafasi ya kushiriki kwa karbu katika mradi wako.kama nafasi yako itakua ndogo sana basi jitahidi mwenza wako asimame kama wewe. Au upate kijana mwaminifu sana japo kushiriki mwenyewe moja kwa moja ni bora zaidi .Na ukiona nafasi yako ndogo basi ujitahidi kuhuzuria kwa mda unaoupata usimwamini mtu kwenye ili swala la usimamizi 100%
Watu wengi wameshindwa kuendelea na ufugaji wa kuku kwa makosa ya kutokuwepo karbu na mifugo yake hii inatokana na kumwamini kijana ambaye unampa kazi ya kusimamia mifugo yako anakua makini sana ukiwepo Ila unapotoka na kumwachia Uhuru anafanya Mambo ndivyosivyo.
Umewekeza pesa zako 100% ila uangalizi 10% tuwe serious kidogo.... Uangalizi ukiwa mbovu au muhudumiaji kuku akifanya uzembe kwakua haupo inapelekea kudumaa kwa kuku,Vifo vya Mara kwa Mara ,Uzembe wa kuwapa chanjo,banda kuwa chafu,magonjwa kila kukicha, kupewa report za uongo,kuibiwa kuku ata na mayai yake kwa kuuza n.k so ni muhimu unapotaka kuanza kufuga kibiashara ujitahidi uwe available kwenye eneo lako la ufugaji.
Sijamaanisha kama tusiajiri vijana hapana Ila wengi wao sio waaminifu na ata ukimpata kijana sahihi uwepo wako sehemu ya kufuga ni muhimu sana hii itasaidia kujua hali ya kuku wako kwa kuwaona direct tofauti na mtu anayeendesha shughuli za ufugaji kwa simu
INAENDELEA
1. AVAILABILITY (uwepo wako)
Kabla ya kuanza ufugaji wa kuku kibiashara hakikisha unapata nafasi ya kushiriki kwa karbu katika mradi wako.kama nafasi yako itakua ndogo sana basi jitahidi mwenza wako asimame kama wewe. Au upate kijana mwaminifu sana japo kushiriki mwenyewe moja kwa moja ni bora zaidi .Na ukiona nafasi yako ndogo basi ujitahidi kuhuzuria kwa mda unaoupata usimwamini mtu kwenye ili swala la usimamizi 100%
Watu wengi wameshindwa kuendelea na ufugaji wa kuku kwa makosa ya kutokuwepo karbu na mifugo yake hii inatokana na kumwamini kijana ambaye unampa kazi ya kusimamia mifugo yako anakua makini sana ukiwepo Ila unapotoka na kumwachia Uhuru anafanya Mambo ndivyosivyo.
Umewekeza pesa zako 100% ila uangalizi 10% tuwe serious kidogo.... Uangalizi ukiwa mbovu au muhudumiaji kuku akifanya uzembe kwakua haupo inapelekea kudumaa kwa kuku,Vifo vya Mara kwa Mara ,Uzembe wa kuwapa chanjo,banda kuwa chafu,magonjwa kila kukicha, kupewa report za uongo,kuibiwa kuku ata na mayai yake kwa kuuza n.k so ni muhimu unapotaka kuanza kufuga kibiashara ujitahidi uwe available kwenye eneo lako la ufugaji.
Sijamaanisha kama tusiajiri vijana hapana Ila wengi wao sio waaminifu na ata ukimpata kijana sahihi uwepo wako sehemu ya kufuga ni muhimu sana hii itasaidia kujua hali ya kuku wako kwa kuwaona direct tofauti na mtu anayeendesha shughuli za ufugaji kwa simu
INAENDELEA