Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,369
- 205,759
Wapi huko?Haha huku kwetu njiwa manga ni elf mbili tu mkuu
Halaf wanasusa hao sjapata kuona na wakitishiwa kidogo wanaweza kuondoka wote pia uikichinja hata kuku kachinjie mbali sio njiwa tu
Wapi huko?Haha huku kwetu njiwa manga ni elf mbili tu mkuu
Halaf wanasusa hao sjapata kuona na wakitishiwa kidogo wanaweza kuondoka wote pia uikichinja hata kuku kachinjie mbali sio njiwa tu
Wapi huko?
Aisee! SawaTanga
Aisee! Sawa
WamemindiHapo kwenye picha naona waliitazama kamera yako hawapendi kupigwa picha, sijui kama watakaa! ushaharibu
@PhoenixWana maringo sana.
Siwawezi bora niendelee na mapaka yangu..roho ngumu hata ukimchinja ng'ombe mbele yao wanabaki.
Mkuuukitaka wazaliane gonga ya Barcelonadunh noma sana kwa hiyo njiwa wanadeka kuliko wanawake wajawazito
*nasikia hata ukinyoa kiduku wanaondoka, ukivaa jezi ya arsenal ndo wanabeba na kibanda kabisa
we muongo muongo mbona mi mlevi lakini njiwa wa mtaa mzima wanashinda kwangu???Ukiachana tofauti ya bei ya njiwa huanzia elfu 10 pair moja ya njiwa Wa kawaida, elfu 60 kwa wale weupe, na wengine wapo wanauzwa hadi laki 8 kwa pair moja!
(Kazi moja ya njiwa ni urembo,burudani,kitowewo na baraka)
Kabla ya kufuga njiwa hao ni vyema sasa kutambua masharti yao;
Hayo ni machache tu kati ya masharti ya njiwa!!!
- Kwanza kabisa njiwa ukiwanunua kutoka kwa mtu, sharti wawe wawili pair (dume na jike)
- Kama muuzaji aliwafuga kwa banda la juu, hakikisha unakowapeleka uwaandalia banda la juu, ukiwaweka banda la chini wanaondoka
- Kama banda lako la chini, tafta muuzaji mwenye banda chini ndipo ununue vinginevyo unashauliwa uwanyonyoe manyoya na kuwafungia siku 40 kabla ya kuwafungulia.
- Njiwa wakiwa mbele yako usipende kuwajadili, hawapendi masimango wataondoka!
- Ukifuga njiwa nao hufatilia nyendo zako, ukiwa mlevi hawakai wanaondoka kwasababu wanaamini mlevi anaweza sahau kuwafungulia bandani siku moja
- Njiwa wana nguvu kiimani, hawapendi mfugaji awe mmbeya kugombana na majilani, kwasababu wakati Wa ugomvi njiwa hukaa juu ya paa wakisikiliza halafu huondoka na hawarudi tena
- Njiwa hawapendi kuona Umechinja njiwa mwenzao mbele yao, wakiona wanahama wote kwasababu wanahisi utawachinja.
- Njiwa hawapendi Makelele ya kushtukiza kama honi Kali, kuwarushia jiwe na miziki mikubwa, ukifanya hivyo wanahama
- Njiwa akifa mmoja, huomboleza, unashauliwa umtaftie mwenza haraka kwa njiwa anaebaki la sivyo wanaondoka
- Hakikisha njiwa huwachanganyi na kuku mwenye vifaranga, wakipararuliwa huondoka mazima.
- Njiwa wanaofugwa banda la uani/nyuma/jikoni huzaliana haraka zaidi kwasababu ya mazingira tulivu
- Hakikisha pakashume hawazoei kufika nyumbani kwako! njiwa hawapatani na paka pori la sivyo wanahama wote!
- Inasemekana njiwa ni Wa pili kwa wivu baada ya nyegele! Hakikisha unafuga wawiliwawili.
View attachment 1101970
Nyee sas unawajulishajeNaiskiaga hii tu toka kitambo mkuu, kumbe kuna zaidi ya hii ya kujulishwa msiba ingawa mimi nilisikia kuwa usipowajulisha msiba wanazira kula! Si kuondoka
AnajihamiNjiwa ukimchungulia wakati anataka kutaga hata kama yao lilisha anza kutoka analirudisha ndani hadi njiwa dume awepo
MhNyongeza:
Hawapendi kusikia sauti za mahaba/za kubanjuana toka kwa binadamu.
Inashauriwa kuweka banda lao mbali na vyumba vya watu wazima ambao daily wanagegedana tena kavukavu.
Usipofanya hivyo njiwa watatomb@n@ sana na kushindwa kupata muda wa kula na hatimaye kufa wote kwa njaa!!
sasa ushasema njiwa Wa mtaa sio wako, huenda wanakuja kushangaa unavyoyumba yumba!we muongo muongo mbona mi mlevi lakini njiwa wa mtaa mzima wanashinda kwangu???