Mkuu hawaoleweki ndio maana wanajitahidi kujibadilisha na wengi wao wapo humu
Wanaume wa sikuhizi mnajipendezesha km wanawake...
Wanaume wa siku hizi mnatumia dawa za nywele..
Na si vipodozi tuu hata wapenzi wenye sumu mnatumia..tena sumu ya kuwaua taratibu sababu mnachepuka na kwenda kavu kavu...
Na si hayo tuu hata vyakula mnatumia vyenye sumu...Vinywaji vyenye sumu.....
poison poison poison full poison
Huyo anayeandika gazeti nae utakuta anatumia sumu..km si ngozini kichwani...Anayetanganza nae vile vile
Ina mahusiano gani na mada husika o unapenda kubadili mada??
Nikirudi kwenye topic husika ni umasikini pia unachangaia maana rahisi ina gharama zake ndo kama hayo makansa n.k
[FONT=courier
new]Zaidi ya asilimia 52 ya wanawake hutumia vipodozi vyenye sumu
ambavyo huwasababishia matatizo mbalimbali ikiwamo kansa ya ngozi, figo
pamoja na kuharibika kwa mimba kwa mama mjamzito. Aidha katika utafiti
uliofanywa na Asasi isiyokuwa ya kiserikali Envirocare mwaka jana
inaonyesha mikoa ambayo imeathirika zaidi na matumizi ya vipondozi hivyo
ambayo ni Tanga, Dar es Salaam, Mwanza, Dodoma, Arusha, Mbeya na
Kilimanjaro.
Meneja wa Mradi huo, Elfansia Shayo, alisema Envirocare imeandaa
kampeni kwaajili ya kupinga matumizi ya vibodozi hivyo itakayofanyika
leo jijini Dar es Salaam. Envirocare kwa kushirikiana na Mamlaka ya
Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imefanya utafiti ulionyesha zaidi ya
asilimia 52 ya watumiaji wa vipodozi hivyo ni wanawake na baadhi yao
wanajua madhara yake, alisema.
Mkurugenzi Mtendaji wa Asasi hiyo, Loyce Lema, alisema kampeni hiyo
inahusu kutoa elimu kwa jamii kuhusu matumizi ya vipodozi hivyo na
ambazo viambato hivi husababisha madhara kwa watumiaji na mazingira.
Alisema pamoja na TFDA kuweka mfumo thabiti wa udhibiti wa vipodozi
ambao unatumia njia mbalimbali ikiwamo usajili wa vipodozi, utoaji wa
vibali vya biashara, na ukaguzi wa maduka bado mfumo huo unachangamoto
kwani vipodozi vimekuwa vikiingizwa nchini kwa kutumia njia zisizo
rasmi.[/FONT]
CHANZO:
NIPASHE
Mbona hata nyie wengi tuu asilimia 90 mnatumia
Huyo anayeandika gazeti nae utakuta anatumia sumu..km si ngozini kichwani...Anayetanganza nae vile vile
tukatupie picha zetu halis ntuone tulivyo natural? mpaka naona mungu alinipendelea
tukatupie picha zetu halis ntuone tulivyo natural? mpaka naona mungu alinipendelea
Inatisha.
Lakini si kwenye vipodozi tu. Hata kwenye sekta zingine mambo ni hayo hayo tu.
Kwa mfano bidhaa za vyakula vilivyosindikwa vinavyotoka nchi za nje zipo nyingi tu ambazo huwa zimemaliza muda wake lakini bado huuzwa madukani.
Ni watu wachache sana ambao hujihangaisha kusoma tarehe ya mwisho wa ubora.