Herbalist Dr MziziMkavu
Platinum Member
- Feb 3, 2009
- 43,073
- 34,844
Dakika 10 litakuwa sio tena yai hilo la kuku labda yai la mbuni.Dakika kumi
Kwa wajawazito dakika kumi ni sahihi.Wanasema hiyo mimajimaji sio mizuri inasababisha ugonjwa lkn sijui ni ugonjwa gani.Dakika 10 litakuwa sio tena yai hilo la kuku labda yai la mbuni.
Jiko gani...la mkaa, kuni, gas au umeme??? chombo gani...sufuria ya mchina, chungu, pressure cooker au? maeneo gani...Dar au Mlima Kilimanjaro?...kuku wa aina gani..kienyejiau kisasa nk?
Jiko gani...la mkaa, kuni, gas au umeme??? chombo gani...sufuria ya mchina, chungu, pressure cooker au? maeneo gani...Dar au Mlima Kilimanjaro?...kuku wa aina gani..kienyejiau kisasa nk?
Jiko gani...la mkaa, kuni, gas au umeme??? chombo gani...sufuria ya mchina, chungu, pressure cooker au? maeneo gani...Dar au Mlima Kilimanjaro?...kuku wa aina gani..kienyejiau kisasa nk?
Vipi kwa moto wa makuti?Dakika 10 litakuwa sio tena yai hilo la kuku labda yai la mbuni.
Kwa moto wa makuti piga yai kwa dakika 5 linatosha kuiva .Vipi kwa moto wa makuti?