Hmm leo umeamka na vita na Mungu tu🤔Alikuwa mmojawapo wa miungu ya Mashariki ya kati
"Alikuwa" na kwa sasa yuko wapi?Alikuwa mmojawapo wa miungu ya Mashariki ya kati
Sijalala, nimekesha, ndio nataka kwenda kulala sasa niamke usiku.Hmm leo umeamka na vita na Mungu tu🤔
Umnyooshe vizuri Mungu sioSijalala, nimekesha, ndio nataka kwenda kulala sasa niamke usiku.
Mpaka azuie El Nino kuja kuharibu na kuua watu.Umnyooshe vizuri Mungu sio
Kwa sababu wewe umesema?Mpaka azuie El Nino kuja kuharibu na kuua watu.