Edward Sambai
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 2,822
- 3,832
Naona awamu hii ni mashindano ya kuteua kwa kwenda mbele
Wana followers wengi insta 😁Hakuna mfanyabiashara hata mmoja hapo .. Na hao hawajui lolote kuhusu faida na hasara kwenye kodi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa watu wazima tushajua kwaniniSioni tatizo lolote hapo!
Wameshobokea majina tuHakuna mfanyabiashara hata mmoja hapo .. Na hao hawajui lolote kuhusu faida na hasara kwenye kodi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ule lushindoSioni tatizo lolote hapo!
Mo dalali tu sijawahi kuona Gari linasafirisha bidhaa zakeNasikia rais ramaphosa wa south Africa amemteua Mohammed dewji kua mshauri wake wamaswala ya uchumi.kwanini sisi tunashindwa kuteua watu wa kada ya mo kuwa wa shauri wetu wa maswala ya uchumi?.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii nchi kuna kipindi mtu unajiuliza maswali weeeeeeeee unaishia kula ugali wako usiku na mboga za majani unakung'uta miguu unapanda kitandani unalala
Utaambiwa public figure, lol [emoji23][emoji23][emoji23]Yaani nawaza Hamisa Mabeto, Edo Kumwembe na Samata wana uhusiano gani na mambo ya ulipaji kodi hapa Tz?
Sioni connection yoyote.
Yaan chick wa RICK ROZI anakua balozi daaah, [emoji23][emoji23][emoji23]Form for failure awe mshauri wa kodi, its only Tanzania
Dont blame him sir, its a question of lack of education, he doesnt even understand what tax systems workUtakuwa sehemu ya tatizo
ccm is a thorn in the flesh of this our beloved country sir, i dont think mwigulu is even qualified to run a village kiosk let alone a countrys finance ministry, safari bado defu sanaHakuna mfanyabiashara hata mmoja hapo .. Na hao hawajui lolote kuhusu faida na hasara kwenye kodi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3064][emoji846][emoji3]basi sawa... Au kwakuwa Mobeto Rick anamnyandua?Wana followers wengi insta [emoji16]
Someone said 'sioni tatizo hapo'!!! Seriously..!? Hajaona tatizo!?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]ccm is a thorn in the flesh of this our beloved country sir, i dont think mwigulu is even qualified to run a village kiosk let alone a countrys finance ministry, safari bado defu sana
Kabisa!! Well said. Unaachia mambo yaende tuHii nchi kuna kipindi mtu unajiuliza maswali weeeeeeeee unaishia kula ugali wako usiku na mboga za majani unakung'uta miguu unapanda kitandani unalala