Yahusu kuchanjiwa muku

Naamini hujanielewa hata nukta... Compassion yangu kwenye uumbaji wa Mungu iko juu kiasi kwamba hata kula nyama huwa naona shida
 
Kwa style hii watu wataendelea kuwa maskini na kuibiwa sana na waganga njaa... Mtu anaamini kweli kuna dawa inamsaidia asife au asiumie? Hii akili sisi watanzania tumeitoa wapi?

Mi namtaka aliyechanjiwa muku nimchape risasi nimwone ambavyo haimdhuru then anirudishie na mimi.

Huu ni ujinga wa kutaka kuwatapeli watu.
 
.
Your browser is not able to display this video.


Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…