Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,663
- 71,449
Kama hujui kwanini umecomment katika namna ya kujua?Sijui nipe darasa
Kama hujui kwanini umecomment katika namna ya kujua?Sijui nipe darasa
Ndio muende clinic wote wawili, mpime na HIV.
PotezeaKama hujui kwanini umecomment katika namna ya kujua?
Nipotezee nini?Potezea
Hahahahaha umeuanza poa sanaa september mzigo tayarWakuu hua mnakabiliana vipi na sms kama hizi??View attachment 1329170
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi mimi sikujua kabisa..Hata sasa hivi akipima anapata majibu.
Alikuwa anataka apate ladha kamili
Ndiyo inatakiwa umlee vizur huyo dada pamoja na mtoto aliyeko tumbon
Umri wako miaka mingapi?Wakuu hua mnakabiliana vipi na sms kama hizi??View attachment 1329170
Sent using Jamii Forums mobile app
alikuwa anawazia atapewa nauli sh? so nje ndani wala hajui.....ila kama ameuliza vile??Hahaha kwa hiyo yeye hajui ulimwaga nje au ndani. Kuna wanawake ni mapoyoyo au raha zilizidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera mkuu
Ila siku hizi wadada ni kama ka mtindo Fulani hivi wamekaanzisha au ngoja niishiie hapa ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha u***ko wakati unapiga mashine ulikua hujui???
Nyie ndio mnatengeneza kizazi cha umaskini