Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Daaahh.... Kila jersey ya Yanga moja yanga inapata faida ya Tsh 1,300. Msimu unaoisha Yanga iliingiza tsh 45,000,000 kupitia jersey. Kweli?
Kweli jamani Mnajua wakati mwingine mnasahau mnadhani watu wote walioko Yanga hawana Elimu au hawajitambui.
Mnatukosea sana. Mimi nasema hili kwa dhati kabisa. Mnatukosea sana sisi wananchi wenye uelewa. Haya bwana. Hamna shida. Kuna siku itanyesha tutajua panapovuja.
Kweli jamani Mnajua wakati mwingine mnasahau mnadhani watu wote walioko Yanga hawana Elimu au hawajitambui.
Mnatukosea sana. Mimi nasema hili kwa dhati kabisa. Mnatukosea sana sisi wananchi wenye uelewa. Haya bwana. Hamna shida. Kuna siku itanyesha tutajua panapovuja.