Yaani inashangaza sana!

Yaani inashangaza sana!

Beesmom

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
37,361
Reaction score
91,912
Humwamini Mungu ila unamwamini shetani. Yaan una imani Mungu hayupo ila shetani yupo, hilohilo jitu lisilo na shukrani ya kuachwa hai mpaka kupata nafasi ya kujitutumua hivyo ndiyo hilohilo kutwa kwa waganga na kulalamikia uchawi.

Shetani na maagenti wake unawatumikia ila umeshindwa kwa anayekunusuru na mengi mabaya mpaka leo.

Aisee, pesa isiwape kiburi, mtakufa vibaya sana nawaambia mwisho muache vizazi vyenu vikipata shida duniani pasipo uwepo wenu.

Kuweni watiifu katika Bwana! Please!
 
Humwamini Mungu ila unamwamini shetani. Yaan una imani Mungu hayupo ila shetani yupo, hilohilo jitu lisilo na shukrani ya kuachwa hai mpaka kupata nafasi ya kujitutumua hivyo ndiyo hilohilo kutwa kwa waganga na kulalamikia uchawi.

Shetani na maagenti wake unawatumikia ila umeshindwa kwa anayekunusuru na mengi mabaya mpaka leo.

Aisee, pesa isiwape kiburi, mtakufa vibaya sana nawaambia mwisho muache vizazi vyenu vikipata shida duniani pasipo uwepo wenu.

Kuweni watiifu katika Bwana! Please!

Tuna tishana sana,kila utakacho kigusa ni vitisho tu,tukienda kwa waganga vitisho tukikanyaga mafuta na kutoa sadaka kwa mwamposa mnasema wajinga waliwao…. Ebhna eeeh kila mtu aishi maisha yake uzuri wote tunapita. Fuvk it
 
Tuna tishana sana,kila utakacho kigusa ni vitisho tu,tukienda kwa waganga vitisho tukikanyaga mafuta na kutoa sadaka kwa mwamposa mnasema wajinga waliwao…. Ebhna eeeh kila mtu aishi maisha yake uzuri wote tunapita. Fuvk it
Oo hata ivo simama na imani yako mkuu ila usitukane imani ya Mwingine.Kama Mungu hayupo unakausha tu kuliko kuongea hadharani
 
Yohana 17.

1.Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe;
2 kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote wenye mwili, ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele.
3 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
4 Mimi nimekutukuza duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye
 
siku mojamoja ma pwointi kama hivi sio mbaya,

au tuyeye ameshakuwa mama mtu mzima! busara inaanza kutamalaki
 
Yohana 17.

1.Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe;
2 kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote wenye mwili, ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele.
3 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
4 Mimi nimekutukuza duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye
Amina
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom