Ya Ruto na Odinga Kuwagharimu Mbowe/Dr Slaa/Shibuda

Ya Ruto na Odinga Kuwagharimu Mbowe/Dr Slaa/Shibuda

Ubaya wa vyama vya siasa Africa ni kwamba natural defense mechanism kwa chama kilicho shindwa uchaguzi ni kusema kura ziliibiwa. Ndiyo maana 2011 Ivory Coast tuliona maajabu pale chama kinacho shikilia dola kika shindwa na kudai wapinzani waliiba kura:crazy:. Ukweli ni kwamba vyama vya siasa Africa, hata Tanzania havipendi kufanya vitu scientifically kama vile polls na survey ili kujipima na sijui kwa nini. Vinaendeshwa zaidi na hisia ndiyo maana hata pale wanapo shindwa kihalali wanaona wameibiwa.
 
Mwenzio ana njia mbadala. nikumtuma mfuasi mmoja tu akamwekee sumu yule ambaye yuko kinyume chake.
 
Sabau hatokei kaskazini ndio maana wanamtenga na pia wanahisi mbio za urais atawapita
Wewe unaweza kujiona kuwa ni mzima kumbe siku nyingi umekufa kiakili na mtu aliyekufa akili kamwe hawezi kuendelea, Pole sana
 


SIDHANI unafutatilia SIASA za KENYA KI HAKI... Kati YA RUTO na MUSYOKA mwenye Wapiga kura wengi ni MUSYOKA na ODINGA aliyoosha an OLIVE BRANCH kwa MUSYOKA; Ukiangalia pia KENYATTA alikuwa na NAJIB BALALA wa PWANI lakini ODINGA alishinda MOMBASA; LAMU Maeneo yote ya Waislamu PWANI; NORTH - TURKANA, Some Parts of Rift Valley... Yeye Ukiangalia alipata kura sehemu zote za KENYA ukilinganisha na KENYATTA...

Sasa nadhani tunataka RAIS wa watu wote sio wa KABILA MOJA tu au wa ENEO MOJA TU... Sasa kama wewe UNAONGELEA MASWA na SHIBUDA -- Maswa ni Wasukuma... Mwanza Mjini ni Wasukuma... ILEMELA ni Wasukuma Maenelo hayo CHADEMA imeshinda... Sasa hatuangalii ENEO tunaangalia NCHI NZIMA SISI SIO KENYA...

Kama wewe Unawaza KENYA... na MAKABILA MAKUBWA KUGOMBEA URAIS... Mawazo yako ni FINYU na ni wa kuogopa kama UKOMA... there is no COORELATION @ all... SIASA zetu ni tofauti kabisa na za KENYA... wao ni siasa za URITHI

Kwahiyo tafadhali sana toa hayo Mawazo kwenye AKILI YAKO!!!

Inaonyesha JINSI SISI WATANZANIA sasa hivi tusivyojua SIASA...
Hakuna sababu ya kubisha kitu usicho na hakika nacho. Rift Valley ina makabila mengi na ina karibia asilimia 30 ya kura na ndio maana Raila kwa kujua hilo alimpigia Ruto magoti amuunge mkono akakataa. Matokeo ya uchaguzi yanaonyesha Jubilee ilishinda kihalali, wakati jubilee ina wabunge ukiondoa wa kuteuliwa 193, cord ina 141. Jubilee ina senators 23 cord 18, kura nyingi zaidi na viti vingi vimetoka rift valley. Wakamba wa Kalonzo si wengi wala hawana majimbo mengi
 
Shibuda hana ushawishi wowote kwa tabia hiyo aliyoionyesha, yaani mtu asaliti chama kiasi hicho halafu abembelezwe? ninakataa kabisa kwanza anatuaibisha wasukuma. CDM inajiandaa kushika dola kuna watu wengi mno watatumika kukivuruga huu ni wakati wa kusafisha bila woga waTZ wanajua kuchambua sio wale wa miaka ya 47 viongozi CDM songa mbele tuko nyuma yenu
 
Shibuda hana ushawishi wowote kwa tabia hiyo aliyoionyesha, yaani mtu asaliti chama kiasi hicho halafu abembelezwe? ninakataa kabisa kwanza anatuaibisha wasukuma. CDM inajiandaa kushika dola kuna watu wengi mno watatumika kukivuruga huu ni wakati wa kusafisha bila woga waTZ wanajua kuchambua sio wale wa miaka ya 47 viongozi CDM songa mbele tuko nyuma yenu
Mkuu kama umenielewa, madhara ninayozungumzia ni yale yanayotokana na mtikisiko maana atalitumia jukwaa kutukana chama na chadema itakuwa inatumia muda mrefu kujibu mapigo badala ya ku focus kujenga chama. Nina hakika gharama ya kumnyamazia ni ndogo sana kuliko gharama ya kumtimua
 
Hakuna sababu ya kubisha kitu usicho na hakika nacho. Rift Valley ina makabila mengi na ina karibia asilimia 30 ya kura na ndio maana Raila kwa kujua hilo alimpigia Ruto magoti amuunge mkono akakataa. Matokeo ya uchaguzi yanaonyesha Jubilee ilishinda kihalali, wakati jubilee ina wabunge ukiondoa wa kuteuliwa 193, cord ina 141. Jubilee ina senators 23 cord 18, kura nyingi zaidi na viti vingi vimetoka rift valley. Wakamba wa Kalonzo si wengi wala hawana majimbo mengi


Lakini alikuwa na RUTO uchaguzi uliopita alioshindwa na KIBAKI na alishidwa kwa .01% as well the
Tatizo ni WIZI wa KURA au WIZI wa UCHAGUZI...

Kwanini Rais always awe MKIKUYU???
 
Huyo Dr unaemzungumzia uwezo wake ni kupiga kelele tu ila uongozi ni 0 bora ya Shibuda.Dr hana kabisa uwezo wakuongoza yeye fukuzafukuza tu,anatafuta umaarufu huku chama kikiangamia kadiri muda unavyoenda watu wanaanza kupata picha kwanini huyu m2 Upandre ulimshinda
 


SIDHANI unafutatilia SIASA za KENYA KI HAKI... Kati YA RUTO na MUSYOKA mwenye Wapiga kura wengi ni MUSYOKA na ODINGA aliyoosha an OLIVE BRANCH kwa MUSYOKA; Ukiangalia pia KENYATTA alikuwa na NAJIB BALALA wa PWANI lakini ODINGA alishinda MOMBASA; LAMU Maeneo yote ya Waislamu PWANI; NORTH - TURKANA, Some Parts of Rift Valley... Yeye Ukiangalia alipata kura sehemu zote za KENYA ukilinganisha na KENYATTA...

Sasa nadhani tunataka RAIS wa watu wote sio wa KABILA MOJA tu au wa ENEO MOJA TU... Sasa kama wewe UNAONGELEA MASWA na SHIBUDA -- Maswa ni Wasukuma... Mwanza Mjini ni Wasukuma... ILEMELA ni Wasukuma Maenelo hayo CHADEMA imeshinda... Sasa hatuangalii ENEO tunaangalia NCHI NZIMA SISI SIO KENYA...

Kama wewe Unawaza KENYA... na MAKABILA MAKUBWA KUGOMBEA URAIS... Mawazo yako ni FINYU na ni wa kuogopa kama UKOMA... there is no COORELATION @ all... SIASA zetu ni tofauti kabisa na za KENYA... wao ni siasa za URITHI

Kwahiyo tafadhali sana toa hayo Mawazo kwenye AKILI YAKO!!!

Inaonyesha JINSI SISI WATANZANIA sasa hivi tusivyojua SIASA...

kuhusu maeneo aliyoshinda odinga umeandika uongo. fuatilia ujue ukweli. mfano, maeneo ya pwani ambayo alishinda kipindi cha kibaki mwaka huu amepoteza kwa kenyatta, na hata yale maeneo mengine aliyoshinda kwa kura nyingi mwaka huu kashinda kwa kura chache sana wakati sehemu alizoshinda kenyatta amemuacha jamaa kwa kura nyingi sana.
 
kuhusu maeneo aliyoshinda odinga umeandika uongo. fuatilia ujue ukweli. mfano, maeneo ya pwani ambayo alishinda kipindi cha kibaki mwaka huu amepoteza kwa kenyatta, na hata yale maeneo mengine aliyoshinda kwa kura nyingi mwaka huu kashinda kwa kura chache sana wakati sehemu alizoshinda kenyatta amemuacha jamaa kwa kura nyingi sana.

Check the MAP Attached; Utaona kuwa Raila ameshinda Maeneo MENGI zaidi ya UHURU KENYATTA...

View attachment kenyan_pres_election_20133 -- UCHAGUZI.pdf


[h=3][/h]
 
Tanzania hatuna ukabila ila kuna watu wenye ushawishi wa kisiasa maeneo fulani ya nchi, Shibuda ana ushawishi kwa maeneo makubwa ya usukumani, hio ndio ukweli
Lakini swali langu linabaki pale pale: je, Shibuda anaweza kuvutia kura zote za Wasukuma ambao ni karibu 25% ya Watanzania? Jibu ni hapana. Kwa sababu Tanzania hatuchagui viongozi kufuatana na makabila yao.
 
Lakini mbona sijawahi kusikia sehemu yeyote kwamba Mhe Shibuda atafukuzwa. au ni kikao gani cha chama kilikaa kupanga mpango huo?
 
Pamoja na kwamba sikubaliani na wewe asilimia 100%, kuna ukweli ndani yake. Badala ya Chadema kupambana na wale watu wenye mitazamo tofauti au maslahi tofauti, ni vizuri kuangalia namna ya kuwa accomodate. Lengo ni kushika dola, mambo mengine tuweke pembeni. Ukishashika dola ndipo sasa unaweza kukunjua makucha!
Naamini unayashuhudia yanayotokea sasa hasa Sonza,Mwampamba,Lekwatare.Katika habari chache tulizokuwa nazo kuna pandikizi kibao ndani ya CDM na kttk hali hii ni lazima watu watimuliwe.Ikiwa kweli mnahilafiana kwa mawazo hamna shida lakini mnapohitilafiana kutoka na baadhi ya watu kuamua ku destabilize chama naamini option ni kutimua hata kama Chama kitakufa,kitazaliwa kingine ambacho kitakuwa kikali kuliko cha mwanzo.
 
Sabau hatokei kaskazini ndio maana wanamtenga na pia wanahisi mbio za urais atawapita

We gamba kweli, hivi hamtosheki na dhuluma mnayoifanyia Tanzania, mlianza hivihivi kwenye udini sasa wewe bado unataka kuendelea na ukabila unastahili laana, hilo tumbo lilokuzaa bora mimba ingeporomoka
 

Lakini alikuwa na RUTO uchaguzi uliopita alioshindwa na KIBAKI na alishidwa kwa .01% as well the
Tatizo ni WIZI wa KURA au WIZI wa UCHAGUZI...

Kwanini Rais always awe MKIKUYU???


Moi alikua Mkikuyu? Uchaguzi wa 2007 ilikua wazi RAO aliibiwa hata idadi ya wabunge alikuokua nao ni kubwa ndio maana Spika na Naibu Spika wote walitoka ODM. Mwaka huu mambo yalikua tofauti kabisa, suala la Ruto limamuathili sana RAO katika uchaguzi huu hilo liko wazi.
 
Shibuda hana nguvu kiasi kile kama unavyodai wewe wapo wasukuma wakima Kasulumbai na wanapiga kazi na wasukuma siku hizi wamebalika sio wale unaowajua wewe na jua Tanzania hatuna siasa za kufuata mtu na ukabila ndio maana wenje ni Mkulya lakini anaongoza mwanza mjini Sugu ni mkinga lakini yupo mbeya mjini bro umechemka shibuda ni vizuri tu akafukuzwa na hapo ndipo chama kitajipima nguvu yake na ushawishi wake kwa wapiga kura haya mambo ya kuktetemekeana ndio yameifikisha nchi hapa sababu ya kuogopana shibuda aliikuta chadema ina nguvu na hata biola yeye ingeshinda tu
 
Wasukuma hawaendeshwi na mtu.

Walishajitambua na kujiujua.

Wanamjua Shibuda ni msaliti kwao hawataki wasaliti

Aende zake.

Hivi lipi bora, mtu anayekuumiza kabisa ukiwa naye kama rafiki au kupoteza mass ya wasukuma.
 
Wewe ndo huna akili kabisa, yaani umvumilie mpumbavu kisa unautaka urais? Unahitaji ukombozi wa fikra..!
 
Mleta uzi huu atakua ni shibuda mwenyewe hapo anapima upepo lakina lazima tukung'oe tu
 
Mamluki hua hatuhangaiki nao tunawachukulia poa then tunakausha wajitoe wenyewe
 
Back
Top Bottom