Litakufa siku si nyingi kama kawaida ya makundi ya bongo maana mashujaa washaanza chochoko za kutaka kulibomoa kwa kumchukua maroposo yule alieimba verse ya
'ale baba huyo.....
katoka kazin zawadi mkononi.....
kaleta na ungo.......
tusipate tabu ya kupeta mchele...
na akina Dinazarde wameshaanza kuwabemenda watoto wale lazma liende na maji.
Mkuu inawezekana wewe ndio huyo dada.Nakushauri ukitaka kujulikana dunia nzima na upate umaarufu panda bodaboda uchi kisha iendeshe mpaka kariakoo
hawa vijana wako vizuri..
afu kuna bendi mpya inaitwa temamate bend na Tamu band mahasimu wa ya moto bend.
Mkuu inawezekana wewe ndio huyo dada.Nakushauri ukitaka kujulikana dunia nzima na upate umaarufu panda bodaboda uchi kisha iendeshe mpaka kariakoo
Mkuu inawezekana wewe ndio huyo dada.Nakushauri ukitaka kujulikana dunia nzima na upate umaarufu panda bodaboda uchi kisha iendeshe mpaka kariakoo
He he he usilie basi dada alievaa kofiaKama huna cha kuchangia sio lazima uchangie,jitambue basi!