Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
Nimestaajabu sana kuona baada ya yanga kufunga
wakati wa kupiga picha eti taa za gari ndo
zimetumika kumulika ,sikujua kama hali ya nji
hii ni mbaya kiasi kwamba hata jenereta ya dharura
uwanja mkubwa na wa kimataifa haipo
nimesikitika sana
wakati wa kupiga picha eti taa za gari ndo
zimetumika kumulika ,sikujua kama hali ya nji
hii ni mbaya kiasi kwamba hata jenereta ya dharura
uwanja mkubwa na wa kimataifa haipo
nimesikitika sana