Kipindi cha kikwete kilikuwa cha wananchi kutafuta mitaji na kuwekeza kwenye maeneo ambayo yatatoa ajira kwa wananchi mijini na vijijini.
Watu wengi waliweza kulima, kufuga na kujenga kwa urahisi tofauti na sasa ambapo kupata mtaji ni jambo gumu sana. Taifa ni lazima liwe na mahali pakuanzia. Shule, hospitali, vyuo, viwanda, bank, petrol station, vyombo vya habari, mabwa ya samaki na mashamba vilijengwa na kuajiri watu wengi sana.
Migogoro ya ardhi ilizuka kwakuwa kila MTU alitaka kulima, kufuga na kujenga. Haya yalikuwa mapinduzi makubwa sana kwa Taifa hili, asitokee MTU kumdhihaki JK.