Ya Kikwete yanafurahisha

Ya Kikwete yanafurahisha

1. Microeconomy ilistawi mzunguko ukawepo, wajasiriamali wakapata ujasiri wa kuvuka border Hongkong, taiwani, guanzhou, Bangkok, South Africa, Dubai nk..
2. Dada zetu nao wauza papuchi wakapata connection wakakwea pipa kwenda kuuza papuchi abroad..
3. Kariakoo ikawa mwayamwaya, Mwanza,Mbeya na Arusha mzunguko wa hela ukawa balaa..
4. Elimu ya juu watu wakasoma, watumishi wa umma wakapata nafasi ya kujiendeleza, vyuo vikuu vikashamiri, wahitimu wakawa wengi..
5. Mabenki yakukopesha, saccoss, taasisi za kifedha na kukopesha wananchi zikashamiri pia..
6. Mahoteli yakaongezeka na vyumba vikajaa, eeeeh lazima vyumba vijae mzunguko upo na watu wanasafiri..
7. Kusini kule makampuni ya gas yakafurika, Mtwara ikawa kuchele...
8 . Migodi mipya ikawa inazaliwa kila uchwao wabongo wakapata ajira, exposure na trainings za kutosha, GOVT ikapata mapato si haba kuliko hamna..
9. nk, nk, nk..

Tumpe JPM miaka kumi naye tuone maana kila Manager ana mipango yake kufikia matokeo chanya..
 
Anzia AHM BWM JK wote ni wa hovyo tu hakuna hata aliyeonyesha dalili ya kuwajali wote walitumika kuwahujumu wananchi hasa wakulima waishio vijijini ambao ni wengi mnatuletea drama za madaraja na udom hapa wote hao ni mafisadi hata huyu aliyepo ni zao la hao hao kina jk so usitegemee jipya tatizo letu watu huwa tunawapima viongozi kwa vitu vya kipumbavu eti madaraja na udom wengine wanapambana kuboresha huduma za kijamii na ilikuwaje kwa miaka 57 wameshindwa kuondoa tatizo la maji elimu afaya miundombinu? watanzania tunaridhika kwa vitu vidogo sana nchi imezungukwa na mito maziwa mabwawa lakini wananchi hawana maji sekta ya kilimo imejaa hujuma tatizo la serikali inatoa huduma mbovu ili iendelee kutawala viongozi wote ni wa hovyo tu hakuna aliye na uchungu na taifa kila mmoja anaangalia tumbo lake tu
 
Mimi ninamkubuka sana Rais mstahafu Mh. Jakaya kwa mambo mazuri kumi (10) yafuatayo:

1. ustawi wa demokrasia
2. Barabara nyingi
3. Madaraja marefu yaliyoshindikana kule Kigamboni, Msata na Malagalasy
4. Jakaya Kikwete Hospitali ya Moyo
5. Mwendo kasi
6. Nyumba za wanajeshi
7. Gesi ya Mtwara
8. Upanuaji wa uwanja wa ndege wa Julius Nyerere
9. Ndoto ya ujenzi wa flyovers Dar es Salaam.
10. Vikoba

Je, wewe unamkumbuka kwa mazuri yapi?

Taifa Stars kidogo ingerudi enzi za 1980s
 
Mimi ninamkubuka sana Rais mstahafu Mh. Jakaya kwa mambo mazuri kumi (10) yafuatayo:

1. ustawi wa demokrasia
2. Barabara nyingi
3. Madaraja marefu yaliyoshindikana kule Kigamboni, Msata na Malagalasy
4. Jakaya Kikwete Hospitali ya Moyo
5. Mwendo kasi
6. Nyumba za wanajeshi
7. Gesi ya Mtwara
8. Upanuaji wa uwanja wa ndege wa Julius Nyerere
9. Ndoto ya ujenzi wa flyovers Dar es Salaam.
10. Vikoba

Je, wewe unamkumbuka kwa mazuri yapi?
Barabara ya mwenge tegeta, tatizo la Kikwete ni moja tu/ yeye ndio chanzo cha huyu bwana anaetuchukia wenye nchi
 
Huyu alipimwa kwa zile push up watu wakadhani atawafaa na amewafaa kwelikweli
 
Mimi ninamkubuka sana Rais mstahafu Mh. Jakaya kwa mambo mazuri kumi (10) yafuatayo:

1. ustawi wa demokrasia
2. Barabara nyingi
3. Madaraja marefu yaliyoshindikana kule Kigamboni, Msata na Malagalasy
4. Jakaya Kikwete Hospitali ya Moyo
5. Mwendo kasi
6. Nyumba za wanajeshi
7. Gesi ya Mtwara
8. Upanuaji wa uwanja wa ndege wa Julius Nyerere
9. Ndoto ya ujenzi wa flyovers Dar es Salaam.
10. Vikoba

Je, wewe unamkumbuka kwa mazuri yapi?
Waziri wa mabarabara na madaraja alikuwa nani??

Hivi ukiwa chadema lazima uishiwe akili kiasi hiki??
 
Mimi ninamkubuka sana Rais mstahafu Mh. Jakaya kwa mambo mazuri kumi (10) yafuatayo:

1. ustawi wa demokrasia
2. Barabara nyingi
3. Madaraja marefu yaliyoshindikana kule Kigamboni, Msata na Malagalasy
4. Jakaya Kikwete Hospitali ya Moyo
5. Mwendo kasi
6. Nyumba za wanajeshi
7. Gesi ya Mtwara
8. Upanuaji wa uwanja wa ndege wa Julius Nyerere
9. Ndoto ya ujenzi wa flyovers Dar es Salaam.
10. Vikoba

Je, wewe unamkumbuka kwa mazuri yapi?
Nina uhakika wewe ni miongoni mwa waliombeza kuwa ni mpole, anachekacheka tu, anasafiri sana, ila sasa umegeuka baada ya kuona na upande mwingine
 
Nakumbuka tulivyokunywa nae Juisi Ikulu, lakini hili la sasa choyo utadhani alizaliwa pale.
 
hata umkosoe vipi hajui kuchukia wala hakua mtu wa chuki na visasi,, alikua anafahamu wakosoaji na wanaomsifia wote ni ndugu wenye nia njema ingawa wanatumia njia/mbinu tofauti kujenga hoja zao
 
Tatizo la village elder ni kua anataka kila kitu awe nacho yeye na aabudiwe mfano logic ya kupunguza mishahara iwiane na wengine bado yoote ni kuona watu wengine wanaliowa 40,000,000 kwa mwezi roho inamuuma sana yani
 
Back
Top Bottom