dah jana ndo nimeliona nilikua na aunt yangu,,,sikujisikia vizuri,na yeye mwenyewe aliguna....tena wameliweka wakati wa break ya taarifa ya habar,,,,thoz medi wapo kipesa kuliko maadili so TWENDE TU
Kama Aunt yako angekupa masomo juu ya mapenz ktk muda muwafaka,usingeshanga ila kwa vile100% ya watanzania wazaz hawana muda kuwaambia watoto wao juu ya mabadiliko ya tabia ktk miili yao watu tunaoneana aibu.