Ya Ethiopia ni somo tosha kwetu

ZE NDINDINDI

JF-Expert Member
Sep 19, 2016
1,885
4,010
*Kununua madege sio solution ya kurahisisha maisha ya wanaoitwa wanyonge,hawa jamaa wana madege sio vipangaboi
*Ma flyovers na matreni ya umeme sio solution ya wanyonge wasio na maji,matibabu,umeme ,elimu hata mavazi
*Ethiopia kuhusu ndege na ma infrastructures nadhani kama ccm ya awamu ya tano wangekuwa navyo ingekuwa balaa,vingeonyeshwa kwenye tv kila dakika ila hawa wandugu kila siku wanakamatwa kwenye malorry huku bongo on transit to south africa
*Hakuna freedom of speech,watu wa kabila la Oromo wanauliwa kama wanyama,wamechoka wamekuja juu wamejitoa muhanga liwalo na liwe mwishowe viongozi wao wametolewa jeal na waziri mkuu wa Ethiopia kajiuzulu
Kwa sasa wako kwenye mjadala wa kitaifa kurudisha UMOJA WA KITAIFA uliopotezwa na ubabe wa watawala waliokuwa busy na madaraja,ma flyovers na mandege huku wakikandamiza haki za raia
 
*Kununua madege sio solution ya kurahisisha maisha ya wanaoitwa wanyonge,hawa jamaa wana madege sio vipangaboi
*Ma flyovers na matreni ya umeme sio solution ya wanyonge wasio na maji,matibabu,umeme ,elimu hata mavazi
*Ethiopia kuhusu ndege na ma infrastructures nadhani kama ccm ya awamu ya tano wangekuwa navyo ingekuwa balaa,vingeonyeshwa kwenye tv kila dakika ila hawa wandugu kila siku wanakamatwa kwenye malorry huku bongo on transit to south africa
*Hakuna freedom of speech,watu wa kabila la Oromo wanauliwa kama wanyama,wamechoka wamekuja juu wamejitoa muhanga liwalo na liwe mwishowe viongozi wao wametolewa jeal na waziri mkuu wa Ethiopia kajiuzulu
Kwa sasa wako kwenye mjadala wa kitaifa kurudisha UMOJA WA KITAIFA uliopotezwa na ubabe wa watawala waliokuwa busy na madaraja,ma flyovers na mandege huku wakikandamiza haki za raia

Nafikiri fanya research zaidi maana hizi info zako hazijitoshelezi. Nijuavyo, ukabila ndio tatizo kubwa Ethiopia. Baada ya mapinduzi ya kumtoa Mengistu, kabila moja lilijipendelea zaidi kuliko lingine kubwa. Ndio maana changamoto hazikuwa zinakwisha.
Ingawa namsifu kiongozi wake kwa kutumia busara...amelinda kitu kile ambacho walikipigania kwa kumwaga damu wakati wa Mengistu. Kuamua mtu mwingine aje na kuanza reforms ni kitu nadra sana Africa.Alifanya Mwalimu Nyerere..na leo Waziri Mkuu wa Ethiopia. Zuma na Mugabe walitimuliwa kwahiyo hawana la kutuletea tujifunze
 
Nafikiri fanya research zaidi maana hizi info zako hazijitoshelezi. Nijuavyo, ukabila ndio tatizo kubwa Ethiopia. Baada ya mapinduzi ya kumtoa Mengistu, kabila moja lilijipendelea zaidi kuliko lingine kubwa. Ndio maana changamoto hazikuwa zinakwisha.
Ingawa namsifu kiongozi wake kwa kutumia busara...amelinda kitu kile ambacho walikipigania kwa kumwaga damu wakati wa Mengistu. Kuamua mtu mwingine aje na kuanza reforms ni kitu nadra sana Africa.Alifanya Mwalimu Nyerere..na leo Waziri Mkuu wa Ethiopia. Zuma na Mugabe walitimuliwa kwahiyo hawana la kutuletea tujifunze
vipi kuhusu hela nyingi kutumika kwenye ma flyovers na kusahau kutatua shida za wananchi?kwa nini wameanza mazungumoz ya kurudisha umoja wa kitaifa?
 
Nafikiri fanya research zaidi maana hizi info zako hazijitoshelezi. Nijuavyo, ukabila ndio tatizo kubwa Ethiopia. Baada ya mapinduzi ya kumtoa Mengistu, kabila moja lilijipendelea zaidi kuliko lingine kubwa. Ndio maana changamoto hazikuwa zinakwisha.
Ingawa namsifu kiongozi wake kwa kutumia busara...amelinda kitu kile ambacho walikipigania kwa kumwaga damu wakati wa Mengistu. Kuamua mtu mwingine aje na kuanza reforms ni kitu nadra sana Africa.Alifanya Mwalimu Nyerere..na leo Waziri Mkuu wa Ethiopia. Zuma na Mugabe walitimuliwa kwahiyo hawana la kutuletea tujifunze
pamojaa na ukabila pia serikali ya Ethiopia ilikandamiza sana haki ya raia, vyombo vya dola vimetumika sana kuminya uhuru wa watu, nmeishi ethiopia miaka 3
 
pamojaa na ukabila pia serikali ya Ethiopia ilikandamiza sana haki ya raia, vyombo vya dola vimetumika sana kuminya uhuru wa watu, nmeishi ethiopia miaka 3
Hilo ndilo tatizo kubwa lililokuwepo hata kwa Ghadaffi, ukiona watawala wanakimbilia kufanya vitu vinayoonekana kwa macho kwa haraka kama mandege ,ma flyovers na kukandamiza uhuru wa watu kuongea ni tatizo kubwa,litakaa kwa muda mrefu halafu mwishowe ni mavurugu tuuuu then utasikia mazungumzo ya kurudisha amani na umoja wa kitaifa
 
Uelewa ni kitu kizuri sana, na ni muhimu ssna kijua nini wananchi wsko waliowengi wanataka, usifikri bila kufikria.
 
Mwenzio akinyolewa nawewe tia maji zamu yawezekana ikawa yako, ukandamizwaji siku zote hufikia kikomo pale jamii inapoona enough is enough
 
Back
Top Bottom