Xiaomi Redmi Note 4 - Full phone specifications

Xiaomi Redmi Note 4 - Full phone specifications

Gotch you....ndio kasimu unakotumia kumbe!!hongera mkuu!!A series nzuri ila jitahidi utumie walau A5 maana A3 upo mbaliii saana!naajua ukifka A5 mwaka utajikongoja kufika A9
Niwezeshe basi mkuu?Ili niweze kujikongoja kufikia huko A9...
Asante.
 
kwa picha za kukimbia still nokia 808 na lumia 1020 hazina mpinzani sababu zina flash za xenon ambazo husimamisha movement.

XENON-FLASH-TEST.jpg


angalia hio picha juu ni flash ya kawaida na chini ni xenon, hata feni likizunguka xenon flash ina uwezo wa kulisimamisha na kuona details za upanga wa feni
Hii Nokia Lumia 1020 kwa sasa itakuwa sh. Ngapi?
 
Chief simu gani zuri za xiomi yenye camera nzuri na ni ya mwaka 2017
camera nzuri xiaomi tafuta series ya mi, mi 6 itatoka mwaka huu bei sifahamu, zipo mi series za 2016 kama mi5 camera zake ni nzur sana zinacompete na simu kama s7, lg g5 etc bei around dola 300 kipindi zinatoka, sasa hivi zinaweza kuwa zimeshuka
 
camera nzuri xiaomi tafuta series ya mi, mi 6 itatoka mwaka huu bei sifahamu, zipo mi series za 2016 kama mi5 camera zake ni nzur sana zinacompete na simu kama s7, lg g5 etc bei around dola 300 kipindi zinatoka, sasa hivi zinaweza kuwa zimeshuka
Asante chief, vp perfomance ukilinganisha na xiaomi note 3!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom