Xiaomi Redmi 1s & 2

Xiaomi Redmi 1s & 2

deogan

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2011
Posts
399
Reaction score
46
Habari,

Nina mpango wa kuagiza simu tajwa Xiaomi/Mi Redmi 1s na baadaye Redmi 2 kwa ajili ya kuuza hapa bongo bamoja na simu nyingine kama Huawei Honor Series, ZTE na ASUS hapo baadaye kwa reasonable price.

Anayehitaji, au mwenye ushauri tushirikishane.

Shukrani.
 
Xiaomi Redmi 1s na Redmi 2 ni simu nzuri kama utaweza kuwashawishi wabongo watumie hii brand. Lakini kwa ujumla products za Xiaomi ni nzuri sana. Mimi natumia earphones zao za pistons, lakini pia wana custom rom inaitwa miui kwa ajili ya simu aina tofauti.

Biashara ni kujaribu ila ninaamini kwa wanaojua simu wakitumia simu za xiaomi kama hii redmi 1s, mi2, mi2s, mi3, mi4, redmi note na mi Note imetoka juzi hawatajuta. Ni rahisi kulinganisha na specifications zake.

Angalizo: Make sure unanunua kutoka kwa wakala anayeaminika, zipo fake.
 
Nilikuwa nazitaka sana hizi simu, nikaambiwa bongo hakuna kabisa nikanunua Nokia. Zinaonekana ni simu nzuri , ukizileta naomba ututangazie hapa jukwaani
 
Zilete haraka mkuu, hizi ni mashine nyingine kabisa, hasa kwa watumiaji wa camera. Ila watu hawazifahamu, lkn ni mashine kali.
 
We lete tu xiaomi series ni simu nzuri sana, ila soko litasumbua kidogo kwa wasiozijua.
 
Zikifika nijulishe nataka redmi 2.
 
reasonable tanzanian price for all matters/bei nzuri na durabilities matter/fastness of the machine 1.4 and above
 
Habari, Nina mpango wa kuagiza simu tajwa Xiaomi/Mi Redmi 1s na baadaye Redmi 2 kwa ajili ya kuuza hapa bongo bamoja na simu nyingine kama Huawei Honor Series, ZTE na ASUS hapo baadaye kwa reasonable price.Anayehitaji, au mwenye ushauri tushirikishane. Shukrani.
Sorry kwa ku pump uzi wa zamani kidogo, unazo hizi simu mkuu? Hasa Redmi 2?
 
Hii simu utaiuza being gani na specification zake ni zipi?

1439654394535.jpg 1439654369973.jpg 1439654343044.jpg specs izo apo
 
wakuu Nairobi zipo nyingi angalia olx Nairobi.pia hebu jaribuni Ku Google simu inaitwa g5 nzr sana ni likuta zipo Lilongwe Kwa kwacha 40000 hapo zidisha Mara 37 una pata tsh yetu.
 
Back
Top Bottom