Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Mnaoenda likizo safari njema, yasijewakuta makubwa mliozoea mjini kama huyu jamaa yangu.
Aaah huyo jamaa vipi mbona akimbia mboga?
kuna cha mboga apo!
Akikufurumisha hivyo ndo ulikuwa unachimba dawa kubwa dah noma kweli kweli
hujui hilo dude kwetu mboga?
Kweli kabisa....hata kitimoto inona wivu nyama ya hii kitu