X-girlfriend anavuruga ndoa yangu

X-girlfriend anavuruga ndoa yangu

Unataka kusaidiwa kumpanga mkeo?

Na yeye anamsikiliza ex wako kuliko anavyokusikiliza wewe?

Huoni tatizo kubwa kuliko ex wako hapo?
 
  • Thanks
Reactions: mij
Tatizo kubwa ni kwamba tunaishi mtaa mmoja.

Alipata bwana mpya akaniacha kwa matusi na kejeli. Nami nikapata mpenzi alipojua akaanza kumlisha maneno mpenzi wangu kwamba mimi sifai ndo sababu aliniacha. Mpenzi wangu aliponieleza iliniuma ila nikajitetea kwamba anichunguze kama aliyoambiwa ni kweli au la.

Tuliendelea tukawa wachumba, na mwishowe tukafunga ndoa. Lakini huyu x bado hajaridhika,akikutana mtaani na mke wangu anampa mabango,mara atakuacha,mara hafai.

Alipoona mbinu hazijafaulu anaanza kumweleza kuwa eti ninamtaka kimapenzi. Ajabu ni kwamba huyu x naye ana bwana wake.
Hili limemyumbisha mke wangu sana.

Ninajuta kujenga mtaa huu alipo huyu x, mpaka natamani niuze nyumba tuhamie eneo tofauti. Lakini shughuli zangu ziko hapa.

Wakuu hii hali iliwahi kukukuta,ulifanyaje?
Unitumie namba zake tu mimi tutaelewana
 
mkuu mbona kutatua hili tatizo ni rahisi sanaa? unaweza mfuata mme wake ukaongea nae kiuana ume yakaisha pia unaweza mkalisha mke wako na kumwambia asijempa nafasi ya kumsikiliza kwa lolote maana inaelekea wanakaa wanapiga stori ama anamsikiliza ujinga wake.

kuhama nyumba kisa x ni udhaifu ulopitiliza

Mke wangu nimesha mweleza kwamba maneno yake ni uongo mtupu. Nami nimempiga stop hata akikutana naye njiani hata salamu asimpe kwa sababu hamtakii mema. Na nilichoona huyu ex ana wivu kuona mimi na mke wangu tunaishi vizuri, tumehamia kwenye nyumba yetu wakati yeye na bwana wake bado wanahangaika na upangaji na hawana ramani ya kutoboa life!
 
Tatizo kubwa ni kwamba tunaishi mtaa mmoja.

Alipata bwana mpya akaniacha kwa matusi na kejeli. Nami nikapata mpenzi alipojua akaanza kumlisha maneno mpenzi wangu kwamba mimi sifai ndo sababu aliniacha. Mpenzi wangu aliponieleza iliniuma ila nikajitetea kwamba anichunguze kama aliyoambiwa ni kweli au la.

Tuliendelea tukawa wachumba, na mwishowe tukafunga ndoa. Lakini huyu x bado hajaridhika,akikutana mtaani na mke wangu anampa mabango,mara atakuacha,mara hafai.

Alipoona mbinu hazijafaulu anaanza kumweleza kuwa eti ninamtaka kimapenzi. Ajabu ni kwamba huyu x naye ana bwana wake.
Hili limemyumbisha mke wangu sana.

Ninajuta kujenga mtaa huu alipo huyu x, mpaka natamani niuze nyumba tuhamie eneo tofauti. Lakini shughuli zangu ziko hapa.

Wakuu hii hali iliwahi kukukuta,ulifanyaje?
Mkeo anapata wapi muda wa kumsikiliza ex wako, what do they have in common ambacho kinawaunganisha mpaka wanakaa wanapiga story...pengine mkeo bado anatamani kujua maisha yako ya nyuma ndio maana anamsikiliza ex wako

Na anamsikiliza kwa nini, kama umepanga hama mtaa na umuonye mkeo aachane na maisha ya past aangalie mbele, akiishi kwa kuambiwa atapata presha
 
Mke wangu nimesha mweleza kwamba maneno yake ni uongo mtupu. Nami nimempiga stop hata akikutana naye njiani hata salamu asimpe kwa sababu hamtakii mema. Na nilichoona huyu ex ana wivu kuona mimi na mke wangu tunaishi vizuri, tumehamia kwenye nyumba yetu wakati yeye na bwana wake bado wanahangaika na upangaji na hawana ramani ya kutoboa life!
kamfuate mme wake sasaa, wanaume huwa hatushindwani hata katika mambo ka hayo
 
Mchawi sio lazima aroge.Mtafute ,ukiwa wee na mke wako.. Alafu mchane laivu, ukikazia maneno haya

"Kama utaendelea kuchokonoa ndoa yangu ,NITAKUHARIBU SURA".



Yeye kua mwanamke, haimpi sababu za kuhalalisha Ujinga anaokufanyia.
Kwa maana hiyo, Nawewe muishi kama Adui.

Sheria ni ngumu ila ni sheria.
Nakazia

Amwite mbele ya mkeo na amweleze ukweli.
 
Tatizo kubwa ni kwamba tunaishi mtaa mmoja.

Alipata bwana mpya akaniacha kwa matusi na kejeli. Nami nikapata mpenzi alipojua akaanza kumlisha maneno mpenzi wangu kwamba mimi sifai ndo sababu aliniacha. Mpenzi wangu aliponieleza iliniuma ila nikajitetea kwamba anichunguze kama aliyoambiwa ni kweli au la.

Tuliendelea tukawa wachumba, na mwishowe tukafunga ndoa. Lakini huyu x bado hajaridhika,akikutana mtaani na mke wangu anampa mabango,mara atakuacha,mara hafai.

Alipoona mbinu hazijafaulu anaanza kumweleza kuwa eti ninamtaka kimapenzi. Ajabu ni kwamba huyu x naye ana bwana wake.
Hili limemyumbisha mke wangu sana.

Ninajuta kujenga mtaa huu alipo huyu x, mpaka natamani niuze nyumba tuhamie eneo tofauti. Lakini shughuli zangu ziko hapa.

Wakuu hii hali iliwahi kukukuta,ulifanyaje?
Nipe namba yake PM, nimkanye
 
Back
Top Bottom