X-girlfriend anavuruga ndoa yangu

X-girlfriend anavuruga ndoa yangu

Grand Canyon

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2020
Posts
547
Reaction score
1,193
Tatizo kubwa ni kwamba tunaishi mtaa mmoja.

Alipata bwana mpya akaniacha kwa matusi na kejeli. Nami nikapata mpenzi alipojua akaanza kumlisha maneno mpenzi wangu kwamba mimi sifai ndo sababu aliniacha. Mpenzi wangu aliponieleza iliniuma ila nikajitetea kwamba anichunguze kama aliyoambiwa ni kweli au la.

Tuliendelea tukawa wachumba, na mwishowe tukafunga ndoa. Lakini huyu x bado hajaridhika,akikutana mtaani na mke wangu anampa mabango,mara atakuacha,mara hafai.

Alipoona mbinu hazijafaulu anaanza kumweleza kuwa eti ninamtaka kimapenzi. Ajabu ni kwamba huyu x naye ana bwana wake.
Hili limemyumbisha mke wangu sana.

Ninajuta kujenga mtaa huu alipo huyu x, mpaka natamani niuze nyumba tuhamie eneo tofauti. Lakini shughuli zangu ziko hapa.

Wakuu hii hali iliwahi kukukuta,ulifanyaje?
 
Yaani unasema unataka uhame nyumba uliyojenga mwenyewe kwa pesa zako kisa vijimaneno vya dear ex, na unakuta ni kabinti flani hivii kimbaumbau hakafiki hata 50 Kgs.! 😂

Niqqah' are you serious.??

Amin, Amin.! Nawaambia, kwa mtindo huu wa maisha, wanaume mtaendelea kuteswa sana na jinsia Ke,
 
Yaani unasema unataka uhame nyumba uliyojenga mwenyewe kwa pesa zako kisa vijimaneno vya dear ex, na unakuta ni kabinti flani hivii kimbaumbau hakafiki hata 50 Kgs.!

Niqqah' are you serious.??

Amin, Amin.! Nawaambia, kwa mtindo huu wa maisha, wanaume mtaendelea kuteswa sana na jinsia Ke,
Hahaha amen
 
Wewe ndo una matatizo, Mwite hapa na yeye atone ushahidi wake
 
Mtafute ,ukiwa wee na mke wako.. Alafu mchane laivu, ukikazia maneno haya

"Kama utaendelea kuchokonoa ndoa yangu ,NITAKUHARIBU SURA".

Yeye kua mwanamke, haimpi sababu za kuhalalisha Ujinga anaokufanyia.
Kwa maana hiyo, Nawewe muishi kama Adui.

Sheria ni ngumu ila ni sheria.
 
Yaani unasema unataka uhame nyumba uliyojenga mwenyewe kwa pesa zako kisa vijimaneno vya dear ex, na unakuta ni kabinti flani hivii kimbaumbau hakafiki hata 50 Kgs.!

Niqqah' are you serious.??

Amin, Amin.! Nawaambia, kwa mtindo huu wa maisha, wanaume mtaendelea kuteswa sana na jinsia Ke,
kembambaa ,alafu unakuta kana tunamatiti kama kisigino cha mtoto, kanaongeaaa kama chiriku


Alafu ndio kanataka kumuamisha mwamba??

Wanaume tunazidi kupungua
 
Mchawi sio lazima aroge.Mtafute ,ukiwa wee na mke wako.. Alafu mchane laivu, ukikazia maneno haya

"Kama utaendelea kuchokonoa ndoa yangu ,NITAKUHARIBU SURA".



Yeye kua mwanamke, haimpi sababu za kuhalalisha Ujinga anaokufanyia.
Kwa maana hiyo, Nawewe muishi kama Adui.

Sheria ni ngumu ila ni sheria.
Nitafanyia kazi ushauri huu. Asante sana
 
mwambie mkeo maneno haya

mfa maji siku zote haishi kutapatapa, ni sawa na samaki avuliwaye kwenye maji lazima afe tu ndio mfano wake na huyo ex kwamba yeye mkeo ni halali atulie tu ampuuze huyo ni mfa maji na ni sawa na samaki alievuliwa hana pankuhemea anatafta pa kufia tu anataka tu kukwaribia hana lengo zuri tena aache mazoea naye.
 
Yaani unasema unataka uhame nyumba uliyojenga mwenyewe kwa pesa zako kisa vijimaneno vya dear ex, na unakuta ni kabinti flani hivii kimbaumbau hakafiki hata 50 Kgs.! 😂

Niqqah' are you serious.??

Amin, Amin.! Nawaambia, kwa mtindo huu wa maisha, wanaume mtaendelea kuteswa sana na jinsia Ke,
Huyu Ni nataka sitaki.

Mwanamme unaependa ndoa yako ukubali mke wako akose raha kisa ex wako?

Nonsense
 
Mchawi sio lazima aroge.Mtafute ,ukiwa wee na mke wako.. Alafu mchane laivu, ukikazia maneno haya

"Kama utaendelea kuchokonoa ndoa yangu ,NITAKUHARIBU SURA".



Yeye kua mwanamke, haimpi sababu za kuhalalisha Ujinga anaokufanyia.
Kwa maana hiyo, Nawewe muishi kama Adui.

Sheria ni ngumu ila ni sheria.
huyo ex alijiaminisha jamaa hawezi kumuacha na nionacho jamaa ni mpole hivo anachukulia kama advantage halaf ukiangalia alivyotumika naye huku ndoa kakosa anachotaka ni kumharibia mke wa jamaa ili tu nafas ibaki wazi arudi abembeleze aolewe yeye, mimi bado hawara hajanitoa kwenye ndoa yangu na ukiangalia mimi ndio mke yeye bado ndoa anaitafta kwa hadubini bado sjatetereka
 
huyo ex alijiaminisha jamaa hawezi kumuacha na nionacho jamaa ni mpole hivo anachukulia kama advantage halaf ukiangalia alivyotumika naye huku ndoa kakosa anachotaka ni kumharibia mke wa jamaa ili tu nafas ibaki wazi arudi abembeleze aolewe yeye, mimi bado hawara hajanitoa kwenye ndoa yangu na ukiangalia mimi ndio mke yeye bado ndoa anaitafta kwa hadubini bado sjatetereka
Tena ni mwenyewe aliyemkimbia mchizi hahahha.



Sema ndo ivo, amekutana najamaa mpole pole sana
 
Back
Top Bottom