Biera
JF-Expert Member
- Dec 7, 2010
- 464
- 78
- Thread starter
- #21
Wrong namba zingine wadada ndio wanazitengeneza,
Siku flani alinipigia mdada mmoja na kuanza kuniambia ashafika Dar akitokea Arusha,
Kumuuliza vizuri yeye ni nani, akadai wrong numbe hivyo nikaamua kuipotezea.
Then ye ndio akaanza kunitafuta sasa.
Kuja kuchunguza kumbe alipewaga issue na ndugu yangu mmoja hivi kua nimemtema girlfr wangu so akawa anataka ajiweke yeye kupitia mtego wa wrong number!!
kwa hyo wana2mia kama njia ya mkato ya kumpata mwanaume!