Wrestling is Fake, Ni maigizo

Wrestling is Fake, Ni maigizo

Wanaosema fake mmeshashuhudia live ama ni kwenye tv tu? Samtimz you need to see and witness utakua ktk nafasi nzuri ya kutetea hoja. Walikuja na huku Oz, sio fake am sure la sivyo mzungu asingetoa $ aingie
kwenye kupigana kurushana na kuumizana hawa jamaa wala hawa act wanachapana kikwelikweli.
Nalog off
 
kwenye kupigana kurushana na kuumizana hawa jamaa wala hawa act wanachapana kikwelikweli.
Nalog off

Nalog on
Umeona eh? Nimeshuhudia pipo are craving for tickets kwenda wrestling arena Sydney. Mtu akakae aangalie fiction? Basi hata Justin Beiber anakuja fake next week.

We should be realistic sometimes
 
Nalog on
Umeona eh? Nimeshuhudia pipo are craving for tickets kwenda wrestling arena Sydney. Mtu akakae aangalie fiction? Basi hata Justin Beiber anakuja fake next week.

We should be realistic sometimes
hahaha ni kweli mkuu binafsi nililipá Rand 170 ili kwenda kujionea mwenyewe.
Nalog off
 
Mnaosema Wrestling is real angalieni hizi videos kisha mrudi hapa:




 
Last edited by a moderator:
Mmmmh!! Hebu tupate uhalisia. Nani alishaingiaga kwenye kuangalia hii kitu live?
 
John Cena hapigwi kudadadeki mpaka umvizie
usiniulize kuhusu undertaker kuna watu wanaamini ni mzimu ule
nyundo ya mgongo hutoki hata damu aisee

haya ni maigizo + uhalisia kama lile pambano la jeff hard vs randy orton liliniaminisha kidogo
 
kama ni fake kamuulize Bryan Michael kilichomvunja shingo alipo kutana na kane
 
Yale ni maigizo, ndio maana wanakwambia "Dont try this at home".
Nmewah kukutana na Wrestler mmoja kweny shughul zangu za utalii akanithibitisha hili.

Wrestline ya kwel inaonyeshwa Kungfu chanel saa 3 usiku, marudio saa saba mchana.
 
kama ni fake kamuulize Bryan Michael kilichomvunja shingo alipo kutana na kane

Kila unachokiona pale ulingoni au nje ya ulingo kimepangwa
Kuna wataalamu wa kuandika script labda ya wiki mzima nk

Kilichotokea kwa Bryn ni kwamba alikua katika ya script na baba yake mzazi akafariki
Sasa ili kumtoa akazike ikapandikizwa script ya kane kuja kumvamia jukwaani na kumvunja shingo then baada ya wiki akarudi tena
Watu walipost hadi picha za kwenye mazishi ya baba yake yupo fit hana hata muogo shingoni

Jiulize inaruhusiwa kumvamia tu mtu jukwaani na kumpa kipondo kile cha zaidi ya dk 5 na hakuna security kuingilia?

Iliwahi kutokea eti Randy alikwenda nyumbani kwa baba yake Cena na kumpiga, nani aliwapiga picha za video na zipo very professional?

Kurukiana na kupigana na vitu mbalimbali ni mipango imepangwa, kila step jukwaani imefanyiwa mazoezi ya kutosha kabla ya kuingia ulingoni, na inapotokea ukikosea step ndio madhara uanatokea sasa

Hebu jiulize kamera zipo live zinaonyesha ze shield wanapanga nje ya jukwaa then mmoja wao anaonekana anenda kupanga deal na akina triple h awasaliti wenzake, kwaakili zako unaamini kunakamera zinachukua kila kitu huko backstage? Na kama ndio inakuaje yale matukio wanayotaka yafanyike uilingoni ndio yaonyeshwe yakipangwa back stage tena live?

Watu wanaupenda mchezo ule kwasababu ya jinsi jamaa wanavyoigiza kwa ufundi pale jukwaani na si kwasababu ni kweli
Ni sawa na wewe kuwa addicted na series ya Game of throne lakini ukajua ni uigizaji tu
Tofauti hii inafanyika live ulingoni na nyingine inafanyiwa mambo mengi kabla ya kurushwa

Nashaanga sana mtu na akili zako timamu unaamini huu mchezo ni kweli
Eti unakatazwa kupigwa ngumi lakini nyundo, viti, marungu nk ruksa, vile vyote ama si halisi na kama ni halisi basi wamefanya mazoezi namna ya kupigana kimtindo wasiumizane
 
Back
Top Bottom