Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,913
- 183,317
Kwahiyo asipokufulia na wewe humfulii?
Kwanini nimfulie??
Kwahiyo asipokufulia na wewe humfulii?
Kwanini nimfulie??
Kwa sababu unampenda, na unatakiwa umtunze akutunze.
Kwahiyo kumtunza ni kumfulia?? Yeye akifua anakufa?? Kama mie ni mkewe nitamfikiria ila kama ni boiflendi tu, hapana kwakweli atanisamehe, nakuja usiku then asubuhi na mapema nasepa.
Teh Teh
Watu huwa wana kosea sana kufanya mambo yanayo takiwa kuwa yanafanywa kwenye ndoa ... Sasa ndio maana hawazipati ndoa maana kuna kuwa hakuna kipya!
Na haya mambo hufanywa sana na wasichana...
By the way,don't get me wrong. I will not wash as he sits on the sofa scratching his Lord knows what or downing beers.
He will make lunch or entertain me with some strip tease.
mimi huwa nawapenda wenye misimamo kama wewe...utajikuta unafua,unapika,unadeki mpaka unajishangaa nini kimekukuta...na wala hamna siku nitakuomba ufanye chochote kati ya hivyo ila utajikuta unafanya tu.
mimi huwa nawapenda wenye misimamo kama wewe...utajikuta unafua,unapika,unadeki mpaka unajishangaa nini kimekukuta...na wala hamna siku nitakuomba ufanye chochote kati ya hivyo ila utajikuta unafanya tu.
When will u grow up??I have my cute baby sis.....
Wanawake mnaongea tu hapa, mara nyingi hata hakuna anayekwambia fanya hili au lile bt huwa mnaamua tu kufanya kiroho Safi
Me huwa vigumu Sana kufua au hata kupika ila Kwa ke iko very common, mostly because they want men to feel their absence once they are not around
Don't play me like that now, i was arguing your case. You're past that phase, no?!
Okay, let's talk that bf/gf phase. There are still bills to be covered, actually more bills than in any other phase. Rendezvous and what not. Birthday parties. A lot of other nonsense expenses. And if i wanna own it all, there comes the bride-price. All that is on me, and i'm cool. But when you guys do something for us, it's gotta be quid pro quo? Can't we all just do our parts and live happily ever after??
One thing i know about myself is, i am one disorganised son of a lady (that's from a woman's point of view). My mum used to sing that to us (me and my brothers) all day long. Now, if any woman can stand that, that means she's lazy and lacks style & taste, therefore she ain't the one.
So if you get a pass to my place, better take charge ASAP. 'less you want to end up with the memory that you was once a visitor.