Wote tulio na miaka 40+ tutakufa ndani ya Miaka 20 ijayo

Wote tulio na miaka 40+ tutakufa ndani ya Miaka 20 ijayo

Nawakumbusha tu wote nyie namimi ndani ya miongo hii miwili tutaoza na kuwa mifupa kuna miongoni mwetu/ mwenu mwaka huu mtaiacha dunia. Usiku mwema MAREHEMU.
Unamawazo ya ajabu yaan ufe na miaka 60
 
Ni mentality tu kwamba, haijaisha mpaka iishe. Ndo maana wamerekani mtu ana miaka 95 ila anamiliki biashara yake na kila siku yupo kazini. Mk sidhani kama tunatakiwa tujadili sana kifo ambacho ni constant
Kweli kabisa, kama trump nadhan anakaribia 80 lakini mambo yake tuu unaona huyu bado anajiona ana nguvu
 
Back
Top Bottom