Hahahah! Mimi Baba yangu ana 69 na yupo ngangari kabisaUnaniambia Mimi ambaye mwezi wa tatu napindukia miaka 62 na Sina wasi. Yaani sifikirii kama nitakufa.
Mjukuu wangu Monetary doctor niletee Kiko babu yako.
Life expectancy ya USA ni miaka mingapi? na Tanzania ni mingapi? Namba hazidanganyi.Watanzania tu ndo wanapenda kukata tamaa namna hiyo. Kwa wamarekani, Baba wa miaka 60 ndo anajiona yupo kwenye prime age kabisa maana anajua ana miongo mitatu ya kuishi. Kulikoni eti niwe na miaka 40 nianze kuwaza mambo ya kufa
Hakuna kukata tamaa mkuu, tunamiaka mingi sana ya kuishi. Labda dharura itokee ituharakishe ahera. Baba yako atafikisa miaka zaidi ya 85.Hahahah! Mimi Baba yangu ana 69 na yupo ngangari kabisa
Kufa mwenyewe...Nawakumbusha tu wote nyie namimi ndani ya miongo hii miwili tutaoza na kuwa mifupa kuna miongoni mwetu/ mwenu mwaka huu mtaiacha dunia. Usiku mwema MAREHEMU.