Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 400
- 1,004
Makonda ameenda kwenye mapokezi yake ya Ukatibu Mwenezi CCM akiwa kwenye bodaboda ambapo hajavaa helmet.
Kama bodaboda wanavyochukuliwa sheria kwa kutovaa kofia ngumu kwa usalama wao na abiria ikawe hivyo hivyo kwa kiongozi ambaye anatakiwa kuwa mfano kwa anaowaongoza. Uzuri ni kwamba amechukuliwa video, hivo trafiki wasifanye kama hawajaona.
Mambo ya msingi ni mengi Watanzania, tisisombwe na huu upepo wakutengeza.
Kama bodaboda wanavyochukuliwa sheria kwa kutovaa kofia ngumu kwa usalama wao na abiria ikawe hivyo hivyo kwa kiongozi ambaye anatakiwa kuwa mfano kwa anaowaongoza. Uzuri ni kwamba amechukuliwa video, hivo trafiki wasifanye kama hawajaona.
Mambo ya msingi ni mengi Watanzania, tisisombwe na huu upepo wakutengeza.