Wote ambao hawajavaa helmet wakiongozwa na Makonda sheria ifate mkondo wake

Precious Diamond

JF-Expert Member
Jun 9, 2023
397
993
Makonda ameenda kwenye mapokezi yake ya Ukatibu Mwenezi CCM akiwa kwenye bodaboda ambapo hajavaa helmet.

Kama bodaboda wanavyochukuliwa sheria kwa kutovaa kofia ngumu kwa usalama wao na abiria ikawe hivyo hivyo kwa kiongozi ambaye anatakiwa kuwa mfano kwa anaowaongoza. Uzuri ni kwamba amechukuliwa video, hivo trafiki wasifanye kama hawajaona.


Mambo ya msingi ni mengi Watanzania, tisisombwe na huu upepo wakutengeza.
 
Makonda ameenda kwenye mapokezi yake ya Ukatibu Mwenezi CCM akiwa kwenye bodaboda ambapo hajavaa helmet.

Kama bodaboda wanavyochukuliwa sheria kwa kutovaa kofia ngumu kwa usalama wao na abiria ikawe hivyo hivyo kwa kiongozi ambaye anatakiwa kuwa mfano kwa anaowaongoza. Uzuri ni kwamba amechukuliwa video, hivo trafiki wasifanye kama hawajaona.


Mambo ya msingi ni mengi Watanzania, tisisombwe na huu upepo wakutengeza.
Konde boy ni Makonda na Mickson only, wengine tupa kule
 
Drama zimeanza
JamiiForums-1985795145.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom