World War 3

Hinfay

Member
Jan 13, 2012
33
6
Jamani kwa wale wanaomfahamu TB JOSHUA huyu mtu ametabiri vita kuu ya 3 ya dunia itakayohisisha iran na middle east vs America na Britain sasa Africa ipo katikati ya bara hizi na inaweza kuathiriwz vyovyote vile...naomba maoni yenu.
 
Huyo TB Joshua ana matatizo ya akili ....
Utabiri wake ni unafki mtupu ..
 
Baada ya jamaa kumtabili lowasa kuwa ndo atakua raisi wa tz 2015 hua siangalii tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom