VIKAO vimeanza tuwasikilize viongozi wetu wataongea nini cha muhimu
nakuhifazi baadae nitakukumbusha ulisema nini halafu wenye hasira huwaga ni wanawake wakituona wanaume tuna cha ziadawe mama hebu tulia tusikilize wanaume wa shoka huko... mambo yako ya jikoni peleka lumumba
hapo ndiyo angekuwepo mbowe ndiyo kaenda hapoyaani angekuwa anatoamacho kama mjusi kabanwa na mlangohapo kwenye kingereza mnawatesa sana Mataga pori.
ohh masikini mataga Pori.hapo ndiyo angekuwepo mbowe ndiyo kaenda hapoyaani angekuwa anatoamacho kama mjusi kabanwa na mlango
Asee..hongereniTunasubiri hotuba ya Madame President,Amiri mkuu wa majeshi yote, chifu Mkuu wa Tz, Mama yetu Samia Suluh.
Mbowe na zero yake halewi ,mafisi ya ufipa yanajua ni UNGA wa kupikia ugarihapo kwenye kingereza mnawatesa sana Mataga pori.
Ewaaa! hapa tayari mataga pori tayari umeshapanic kama nilivyotaka iwe yani.Mbowe na zero yake halewi ,mafisi ya ufipa yanajua ni UNGA wa kupikia ugari
USSR
mbona unajisahaulisha dadangu? ulitakiwa useme hapo angekuwa MEKO sijui ingekuwaje na kile kiswanglish chake ... ''pipo uzi tu dai ini dhe.. ini dhe... dhe.. REEEKI''hapo ndiyo angekuwepo mbowe ndiyo kaenda hapoyaani angekuwa anatoamacho kama mjusi kabanwa na mlango