World Cup Concert Live On ESPN!.

Ipo hata kwenye Supersport 3 huo unaitwa mkesha wa WOZA..watu wanakula bata tu na matumbuizo kutoka kwa mastaa kibao kutoka nchi mbali mbali!! Cjui AKON yupo nae mana kibao chake kitamu ...
 
Ipo hata kwenye Supersport 3 huo unaitwa mkesha wa WOZA..watu wanakula bata tu na matumbuizo kutoka kwa mastaa kibao kutoka nchi mbali mbali!! Cjui AKON yupo nae mana kibao chake kitamu ...
Halafu hao wana siasa wa Tanzania wanaleta longolongo kwa wananchi wao wakati wenzao sasa hivi duniani wana-enjoy World Cup. Shame on them, mara oh tutaonesha~mara oh kuna Bunge WTF?.
 
Mtandao wako utakusaidia kwa hili~tatizo ni kwa wale majority wasikokuwa na access na mtandao, too bad!.

tatizo lingine linakuja pale ambapo TBC hawako hewani mpaka uwe na kile king'amuzi chao...hii inamaanisha kuwa wewe mtanzania usiye na king'amuzi kombe la dunia utalionea baa
 
tatizo lingine linakuja pale ambapo TBC hawako hewani mpaka uwe na kile king'amuzi chao...hii inamaanisha kuwa wewe mtanzania usiye na king'amuzi kombe la dunia utalionea baa
Du mwaka huu mbona wengi tutakuwa wanywaji!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom