Mkuu naona ushatia timu eti,
Word from the grapevine ni kua Chile respect Brazil but dont fear them....whatever that means.
Meanwhile yule mtu wako wa nanihii huyu hapa kakusalimia....:A S 103:
![]()
Hapa sijui kama kuna mtu ana-support Chile jamani!!!...Ngoja nisubiri.
c'mon CHILE , c'mon SANCHEZ. in CHILE we trust. (N:B mambo yakienda vibaya nitalogi auti bila kuaga)
Hawa watu wanapenda mpira kama sisi waswahili tunavyopenda kumegana, kwi kwi kwi!.Umeona walivyojaa kule kwao Copacabana Beach?..Utadhani nzige!
2014 patakua hapatoshi na nadhani watajaza wao Stadium zote.
Hapa sijui kama kuna mtu ana-support Chile jamani!!!...Ngoja nisubiri.
umekuja eeeh.....
ile CD ya "waka waka" umekuja nayo ,hapa leo tunataka kumchezesha BRAZIL orijinali ZANGALEWA. hakikisha unabaki mpaka 90 (nina hakika BRAZIL hafiki 120 anarejeshwa kwao)
pamoja na majonzi wanayonipa....im still down with the UNDERDOGS...............
Nilimuona mtu katika mechi iliyotangulia alikuwa na Waholanzi lakini alisema mechi hii atakuwa na underdogs Chile, nadhani ni Klorokwini but I am not 100% sure.
ile CD ya "waka waka" umekuja nayo ,hapa leo tunataka kumchezesha BRAZIL orijinali ZANGALEWA. hakikisha unabaki mpaka 90 (nina hakika BRAZIL hafiki 120 anarejeshwa kwao)
Mkuu naona ushatia timu eti,
Word from the grapevine ni kua Chile respect Brazil but dont fear them....whatever that means.
Meanwhile yule mtu wako wa nanihii huyu hapa kakusalimia....:A S 103:
![]()
Hahahahahahah wala sikushangai na chaguo lako BJ. Tulianzia kuzifagilia timu za kwetu lakini hatimaye tutarudi tu kwa Magwiji wa soka Ulimwenguni. Nimeshaandaa bendera yangu ya Brazil rasmi kutamba nayo mtaani lakini ngoja kwanza hii ya Ghana iendelee kupepea, lakini leo niko Brazil lol!
pamoja na majonzi wanayonipa....im still down with the UNDERDOGS...............
brasil ku....😛lane: ni ndoto.....