BAK mie nitachukulia 1-1..btw sasa ni 3 NIL..Nice goal by Tevez..Sasa ni officially Argentina Vs Germany in 1/4fins..
mkuu vipi tena amigos wako imekuwaje? ARGENTINA VS GERMANY hii game ni balaa .
mkuu vipi tena amigos wako imekuwaje? ARGENTINA VS GERMANY hii game ni balaa .
Mtatoka kwa Chile?
kama Ghana vile au sio mkuu? lolLakini ningependa sana mwaka huu walau ubingwa uchukuliwe na timu nyingine na sio wale usual suspects wa kila mwaka wa kombe la dunia. Vipi Chile au Japan wakishinda....? Nimechoka na timu zile zile tu kubadilishana ubingwa...kama sio Brasil...basi Italia..kama sio Italia basi Deutschland....kama sio Deutschland basi Argentina...aaah inaboa sasa
kama Ghana vile au sio mkuu? lol
Lakini ningependa sana mwaka huu walau ubingwa uchukuliwe na timu nyingine na sio wale usual suspects wa kila mwaka wa kombe la dunia. Vipi Chile au Japan wakishinda....? Nimechoka na timu zile zile tu kubadilishana ubingwa...kama sio Brasil...basi Italia..kama sio Italia basi Deutschland....kama sio Deutschland basi Argentina...aaah inaboa sasa
huyo dogo hernandez man united watajitesea sana kwenye ligi msimu huu.
Siyo siri nimemkubali..Goli safi sana!!Bravo Tevez!!
Na hii mechi ni dk 90 tu hata ingekuwa 70 bado Argentina wangeshinda..Phew,sijapata presha leo! ingekuwa zile timu zetu,mmoja kadraw mwingine kafungwa au wote wamefungwa!!
Katika hii wing ya kushoto Chile wanaweza kupita kama wataifunga brazil na hiyo inaweza kuwa chance ya ghana kuingia final. Upande wa kulia ni vigumu sana kwa Japan kupita hawataweza kuifunga Paraguay na kuna Spain pia kuna German.
Katika hii wing ya kushoto Chile wanaweza kupita kama wataifunga brazil na hiyo inaweza kuwa chance ya ghana kuingia final. Upande wa kulia ni vigumu sana kwa Japan kupita hawataweza kuifunga Paraguay na kuna Spain pia kuna German.
Chile kuifunga Brasil will never happen. Jiandaeni kulia na kusaga meno tu hiyo Julai 11
mark my words , BRAZIL kesho anaaga mashindano