Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,115
- 136,839
GERMANY VS ARGENTINA ? i cant wait for this game.
Don't get ahead of yourself now....usiwadharai kina amigo
GERMANY VS ARGENTINA ? i cant wait for this game.
Hawa madogo wanaweza kuwaaibisha Argentina.GERMANY VS ARGENTINA ? i cant wait for this game.
SIwezi kumlaumu James, hakupata protection yeyote kutoka kwa defence..Ameokoa magoli mawili ya wazi kabisa, ngoma ingeweza kwenda hata 6-1 hii.gerald,lampard,heskey,d.james hii ndio WC yao ya mwisho na wamemaliza kwa aibuu.....
Waingereza alikuwa na timu nzuri mwaka '90...nyingine zote baada ya hapo ni majokeri tu
Haya haya kindumbwendumbwe, Bundesliga na Barclays. Will Kaiser Franz Beckenbauer words slamming English team butuabutua game come to reality Mjusi Embalasasa Ozeil outshining Lampard and Gerrard?
Lets tune to the game!
![]()
![]()
Hawa madogo wanaweza kuwaaibisha Argentina.
GERMANY VS ARGENTINA ? i cant wait for this game.
SIwezi kumlaumu James, hakupata protection yeyote kutoka kwa defence..Ameokoa magoli mawili ya wazi kabisa, ngoma ingeweza kwenda hata 6-1 hii.
Thank God! Now i can watch the world cup kwa amani. Thank you Germany
mkuu hawa jamaa wa kule amerika ya chini wakikutana wana mbinde si mchezo, usishangae ARGENTINA akasambaratishwa leo. anyway mimi ni MEXICO kwa leo though najua ushindi ni ngumu.
Don't get ahead of yourself now....usiwadharai kina amigo
GERMANY VS ARGENTINA ? i cant wait for this game.