Duh, England are exposed big time, full backs wao wanapanda kwa kuwa hawana midfield wingers, halafu mapengo yanatokea kwenye long balls. They need to sit out from internationals for the next 6 years wakijenga timu anzia under 12, under 17 na under 21.
The future iko kwa Germans na Ghama maana timu zao ni za vijana ambao wengi ni under 24.
Ushabiki pembeni na sababu zingine mtu unazoweza kuwa nazo binafsi, ukweli ni kwanba Waingereza wamekuwa outclassed leo. Lakini hii haihalalishi kuwanyima goli lao halali.
Ghana ni wazuri kupita england.....
Wajerumani walipata tabu kuwafunga ghana...
Lakini wamewadhalilisha england........
Leo nimefurahi sana.
It's all over.......................bye bye England
nimekupata kamanda, refa alifuja kiaina ! ,lakini still amewin ambae anadeserve. acha tusubirie kipute cha usiku , nipo pamoja na underdogs MEXICO,
Capello &%^%$%^ zake, anajitia mzee wa principles hata kama hazizai matunda. Angalia kocha wa Ujerumani alivotulia, amechukua vijana wa kazi bila kuangalia usoni...vijana ambao anajua watamuhakikishia ushindi. Capello yeye anaangalia media imeandikaje ndo anafanya maamuzi.Aaaaaaaaaaaaaaah Mpemba..........Yashakuwa hayo tena?........hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
good game upande wa ujerumaniIt's all over.......................bye bye England