World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

naona leo wana muziki wa rap kutoka marekani wamebanwa mbavu, huleeeeeee Ghana kanyaga twendeeeeeeeeee, hamna shobo, hapa afghanstani hapa soka soka tu
 
soc_g_boateng1x_576.jpg

Muuaji wetu huyu khaa!.
 
inaonekana huyu mserbia hakuangalia mechi za USA zilizopita hata waGhana wenyewe (bechi la ufundi) wanashindwa kutambua kuwa USA huwa ni hatari second half. Walipaswa kupiga goli 2 au 3 katika half hii.

la pili linakuja mkuu ndio lina pikwa.
 
GHANA wamefunga goli lkn mpira wao sometime kama hamna malengo......ball possession saaaana end product zero...ona walivyokoswakoswa.......
 
There are currently 54 users browsing this thread. (16 members and 38 guests)
 
Pasi za Ghana siyo sharp and crisp, wana stamina nzuri ila wanakuwa kama hawana confidence au wanacheza mechi ya majaribu trying to find rhythm.
 
Back
Top Bottom