World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

na bora unaenda kuangalia hooters manake baada kipigo wale wakina dada watakuliwaza na maziwa yao lol.

Hooters patalipuka pindi Dempsey atapocheka na nyavu....yaani leo niko excited ile kichizi. Mniwie radhi kwa kuiteka nyara mada....najua muda bado...
 
Hooters patalipuka pindi Dempsey atapocheka na nyavu....yaani leo niko excited ile kichizi. Mniwie radhi kwa kuiteka nyara mada....najua muda bado...

wala ujaaribu jukwaa mkuu manake hii mechi tunaitumia kuchoma mda hili tufikie kwenye hio mechi kuu ya leo na nikawaida washabiki kutambiana kabla ya mechi.


subiri huone mshike mshike wa Boateng.
 
Hi -

I'm watching TV channels from all over the world on TVU, and I thought you might like it.


TVU Networks has a global Internet TV service with hundreds of channels - find out more at TVU networks - Live TV from around the world. You'll need a Windows PC and a broadband Internet connection to watch.

TTCL BB AKSANTE HAKA KA TV KANAONESHA VIZURI KWENYE LAPTOP DOWNLOAD NA WEWE UONE
 
wachezaji wetu vichwa ngumu tu lakini mpira unafundishika kabisa au unaweza kujirekebisha binafsi kwa kujifunza kwa kuangalia imradi talent huwe nayo.cheki wakorea wanavyopiga mpira safi tu wa kuelewana na unavutia.
 
half time ndio hio Uruguay 1 south korea 0,mpira mzuri sana timu zote zinashambuliana kwa kasi na lolote linaweza kutokea.
 
ngoma 50/50....kipindi cha pili KOREA wanaweza kufanya maajabu.............
 
[QUOTEs=mmbebabox;967800]ngoma 50/50....kipindi cha pili KOREA wanaweza kufanya maajabu.............[/QUOTE]
yaap mechi nzuri sana na wakorea wanatoa upinzani mkubwa tu.ndio maana nikasema World Cup imeanza rasmi .
 
ila kwa mistake kama hizi mechi sasa hivi itakwishaa............
 
duh uruguay anakoswakoswa hapa....s.korea wamekuja juu 2nd half..........
 
kitu hicho mkuu kama vipi watupeleke over time hili itusogeze zaidi kwenye mechi ya ghana vs usa.

he he he he it was just a matter of time.......hata mimi napenda waende extra time.......then penati...............
 
Wakorea wanatafuta ushindi hapa na wana uwezo wa kuupata wakiendelea na kasi hii simchezo kweli wana jeshi hawa.
 
Ila kesho ndio kesho aisee...Mjerumani na Mwingereza na lazima mmoja wao acheue...I can't wait for this one.
 
Back
Top Bottom