World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

USA hawawezi kuwafunga Ghana poleni washabiki wa Obama and co. mwambieni tu Bill Clinton arudi nyumbani aendelee kula tende.

Mkuu USA wana advantage kwenye speed na determination. Ghana kama wakiacha papara na kupunguza makosa wanapofika golini wanaweza kabisa kushinda mechi hii. Ngoja tusubiri
 
Haya wadau leo WC ndio ''imeanza'' baada ya mchujo wa kwanza sasa tumeingia hatua ya pili yaani MTOANO....
Sasa hivi ni WIN or GO HOME.....Tukianza na Uruguay vs S.Korea.....
 
World-Cup-Matches-Uruguay-South-Korea-Preview_2470577.jpg

Sasa world cup ndio imeanza rasmi na mchii mie nashangilia Uruguaaaay, Forlaaaan ana goli zake 2 leo.
 
Go USA....

Yaani leo siambiwi wala sisikii la mtu..ni USA all the way...nina red, white, and blue na gemu nitaenda kuiangalia Hooters...LOL

Hivi kumbe nimepotea njia?
 
go usa....

Yaani leo siambiwi wala sisikii la mtu..ni usa all the way...nina red, white, and blue na gemu nitaenda kuiangalia hooters...lol

hivi kumbe nimepotea njia?

he he he rudi baadae kidogo......mkuu ulipotea ulikuwa honolulu na akina kobe mnajipongeza???
 
Duh mara hii......wakorea wana long afternoon.......
 
Mkuu Ghana anamfunga USA leo vizuri tu.

Nina imani kuna njama za kuidhulumu USA. Haiwezekani magoli mawili halali kabisa ambayo yangeweza kubadilisha matokeo na qualifiers wa makundi yakataliwe. Lile Liafrika Li-Coulibaly mpaka leo hii halijasema kwa nini lilikataa goli la USA. Nina imani kabisa mwamuzi akiwa mpenda na mtenda haki leo USA itaibuka kidedea. Ila sina kabisa imani na waamuzi wanaoamua mechi za USA. Kuna njama sehemu fulani za kuikwamisha USA.
 
Go USA....

Yaani leo siambiwi wala sisikii la mtu..ni USA all the way...nina red, white, and blue na gemu nitaenda kuiangalia Hooters...LOL

Hivi kumbe nimepotea njia?

na bora unaenda kuangalia hooters manake baada kipigo wale wakina dada watakuliwaza na maziwa yao lol.
 
btw abdulhalim .......what is vimburu? (sory off topic)
 
Wakorea bwana? hapa ni afadhali Korea washinde ili Ghana au USA (washikaji/Port) aingie semis.
 
he he he rudi baadae kidogo......mkuu ulipotea ulikuwa honolulu na akina kobe mnajipongeza???

Nilikuwa Orlando babu natimiza wajibu wa kuwa mzazi kwa kumpeleka binti mfalme Disney...si unajua. Ingekuwa bongo ingekuwa ni kumpeleka Silent Inn kuangalia majoka ya Muungani Ngoma Troupe...lol...
 
Back
Top Bottom