World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

US hawatishi sana, ni wakati muafaka wa Ghana kusharpen umaliziaji.

Ghana wanacheza strategic football, kuna jamaa yangu Ghanaian aliniambia kuwa wachawi wote wa Ghana wapo nyuma ya timu na wao ndiyo walikuwa wanapanga matokeo haya, yaani nimecheka mpaka mbavu zinaniuma, kumbe kamati za ufundi si kwa timu za biongo tu hahaha! Sijui kama hii ina-work katika mpira wa sasa wa kisayansi. All the best nina hakika Ghana wanaweza washangaza USA kwenye knock out.
 
Brothers at war!!!!

_48157520_boateng.jpg



_48157543_ayew.jpg



_48157680_ozil.jpg



_48157823_jogi.jpg
 
108236-01-02.jpg

Ghana's striker Asamoah Gyan (R) vies with Germany's defender Per Mertesacker during their Group D first round 2010 World Cup football match on June 23, 2010 at Soccer City stadium in Soweto, suburban Johannesburg.


108351-01-02.jpg


Ghana's striker Asamoah Gyan (C) reacts after Germany's midfielder Mesut Ozil (unseen) scored during the Group D first round 2010 World Cup football match Germany versus Ghana on June 23, 2010


108348-01-02.jpg

Germany's midfielder Mesut Ozil (R) celebrates after scoring with Germany's midfielder Bastian Schweinsteiger (C) during the Group D first round 2010 World Cup football match Germany versus Ghana on June 23, 2010 at Soccer City stadium in Soweto, suburban Johannesburg.


108329-01-02.jpg

Germany's midfielder Mesut Ozil (L) celebrates after scoring as Ghana's midfielder Kwadwo Asamoah looks on during the Group D first round 2010 World Cup football match Germany versus Ghana on June 23, 2010 at Soccer City stadium in Soweto, suburban Johannesburg.
 
108293-01-02.jpg


Ghana's goalkeeper Richard Kingson (C) misses a kick from Germany's midfielder Mesut Ozil (behind him) during their Group D first round 2010 World Cup football match on June 23, 2010 at Soccer City stadium in Soweto, suburban Johannesburg.


108395-01-02.jpg



108502-01-02.jpg



108258-01-02.jpg


Germany's striker Lukas Podolski (R) fights for the ball with Ghana's midfielder Kwadwo Asamoah (L) and Ghana's defender John Paintsil
 
Tukiacha masikhara na ushabiki pembeni, goli la huyu mturuki ni tamu kwa kweli.
 
Mkulu Bill Clinton anawaza "mbona kamati ya ufundi imenitupa"...:biggrin1:...Nimemkubali kama shabiki wa soka!


ept_sports_sow_experts-3970101-1277313205.jpg
 
Miafrika kweli ndivyo tulivyooo!!!!.... :biggrin1: :biggrin1: :biggrin1:

slide_7897_105023_large.jpg
 
jamani kwani beckham kwenye benchi la wanywa chai anafanya nini?
au kaitwa kama nani hapo?sielewi kabisa
so irritating!!
 
Huyo mtoto wa Pele wa Africa anapiga soka la ukweli
 
_48025305_466x260_slovakia_italy.jpg



_48164765_italyteam_reuters.jpg



Mabingwa watetezi leo lazima washinde ili waingie last 16.....katika mechi za leo kila timu inaweza kuingia last 16 hivyo kufanya mechi hizi ziwe DO or DIE......sikumbuki mara ya mwisho bingwa mtetezi kutolewa grp stage.....
 
Back
Top Bottom