US hawatishi sana, ni wakati muafaka wa Ghana kusharpen umaliziaji.
Ghana wanacheza strategic football, kuna jamaa yangu Ghanaian aliniambia kuwa wachawi wote wa Ghana wapo nyuma ya timu na wao ndiyo walikuwa wanapanga matokeo haya, yaani nimecheka mpaka mbavu zinaniuma, kumbe kamati za ufundi si kwa timu za biongo tu hahaha! Sijui kama hii ina-work katika mpira wa sasa wa kisayansi. All the best nina hakika Ghana wanaweza washangaza USA kwenye knock out.