World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Italy wanatolewa kwa mpira huu wanaocheza hawachomoki.
 
Italy wamefulia kwa kweli.......Wamezidiwa mpaka ball possession 1st half..............dah
 
Standing mpaka sasa ipo hivi
Group F
Paraguay 3 1 2 0 3 1 2 5
Slovakia 3 1 1 1 2 3 -1 4
New Zealan 3 0 3 0 2 2 0 3
Italy 3 0 2 1 2 3 -1 2
 
Kipindi cha lala salama ndo kimeanza hapa ngoja tuwaone Azzuri kama watasonga au ndo Safari kesho
 
mkuu jumamosi nakuachia watoto wako wa Obama mie nashangilia nyumbani (Ghana) lool.

Hio gemu mimi Ghana all the way. Nishaanza kuvutana mashati na watu kazini na nyumbani pia kuna mushkil mpaka baada ya gemu...Kaazi kweli kweli aisee. Mpaka kieleweke tu awamu hii.
 
Hope Italy wanaweza badilika 2nd Half na kuibuka na ushindi
jamaa perfomance yao imekuwa mbovu toka game za mwanzo sijui tatizo nini,naona wapo wapo tu.

ningependa wapite waende kuchangamsha knock out stage lakini ngoma yao inaonekana ngumu sana.
 
_48165156_vittek_pa.jpg
 
Lippi kaona isiwe taabu kavunja kabati lake kamuingiza Pirlo tuone miujiza ya 2006!
 
Back
Top Bottom