RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,801
- 129,645
Fikiria huyu kocha wa Ghana kamuacha kabisa kwenye WC striker mzuri kama Junior Agogo.........Jamaa ana uchu hasa wa magoli lakini hayupo WC
AGOGO majeruhi.......MUNTARI alikuwa sumu dressing room(ego,indispline).......wachezaji waafrika wakiwa successful shida kudeal nao,kocha mkali matokeo yake ndio hayo hajali we ni nani ni benchi tu.......