Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Ghana itabana halafu itaachia dakika tano za mwishoni..Kunradhi ndugu zanguni kwa utabiri huu. ^_^
wanachezea shillingi ****** lol.
Ghana itabana halafu itaachia dakika tano za mwishoni..Kunradhi ndugu zanguni kwa utabiri huu. ^_^
Ghana itabana halafu itaachia dakika tano za mwishoni..Kunradhi ndugu zanguni kwa utabiri huu. ^_^
kwa mara ya kwanza bendera ya AFRIKA inakwenda hewani leo. bili yako ya internet ya mwezi huu nalipa mimi hehehhehe
Kipa anaruka bila taimingwanachezea shillingi ****** lol.
wanachezea shillingi ****** lol.
Ghana watafute kocha wa washambuliaji (wanaweza wakaachana na kocha wa makipa).
:biggrin1:Jamaa linakosa goli likiwa limebaki na kipa..upupu mtupu
Germans seems they want it more..na hii itawasababisha washinde hii kitu.i can see clearly what you mean......mtu anakosa goli la wazi ktk mechi muhimu kama hii...................
neno "toilet" kwa kiswahili humu linaekewa *******?
neno "toilet" kwa kiswahili humu linaekewa *******?
Germans seems they want it more..na hii itawasababisha washinde hii kitu.
he he he he mbona CHOO ni neno la kawaida tu.........