World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

GYaan umeomba vizuri mpira umeletewa lakini bado hukuwa umejiandaa,nafasi ya kwanza Ghana wanapoteza.
 
naona wanazipa nafasi sana winger za ujerumani na inaweza kuwa cost vibaya sana.

alafu kama Ghana wamekaa ki-draw zaidi leo au macho yangu tu?

the way they play wananipa BP.......VERY GOOD TECHNICALLY BUT TACTICALLY IM NOT SURE.......
 
hili gemu liko veri open lakini defence ya GHANA inaleta presha za hapa na pale.
 
asamoah gyan ndio striker ila jamaa ni bingwa wa kukosa magoli ya wazi.....labda leo ipatikane penati ingine......

Ila sometimes nammind sana kocha aisee........Mbona napenda kuwaweka benchi wataalam na wakongwe kama Stephen Appiah,Suley Muntari na Mathewe Amoah???............Pia kuna bwana mdogo Dominic Adiyah angemjaribu huyu,ni striker mzuri sana hope angewafungia magoli ya ukweli na si yale ya penati ya Asamoah Gyan
 
Mbona unaishia kuguna tu? Au ndo unasubiri ule msemo kwamba waafrika tunaweza kuwa mabingwa wa world cup ya mambo flani tu?

Kama sikosei hawa Ghana ni mabingwa wa dunia katika mashindano ya wenye umri mdogo na ndiyo timu ambayo wachezaji wake ni wadogo kuliko team yoyote ile. Average age ni 24 YO. Hivyo timu hii hii kama hawatakuwa na majeruhi ya kutisha wana nafasi kubwa ya kushiriki tena kwenye WC kule Brazil 2014 . YES WE CAN! JUST PLAY YOUR PART
 
ungekuwa baa huku uswahilini kwetu tungekubeba juu juu hadi nje.....LOL

Ndo mana nimejichimbia huku sitaki kuzomewa na kutolewa mkuku..ha ha!..yani wewe hukati tamaa?! eniwe kama ni huzuni basi Ghana leo wanafunga dimba halafu tufurahie 16'z mpaka fainali..
 
lol .... unaogopa Ghana wakifungwa utaugua ghafla? onyesha uzalendo wako moja kwa moja bila woga.

Acha tu mkuu,presha zimepanda+kushuka mpaka ku-stabilize lakini hamna aliyevuka 2nd round ndo mana Ghana sina matumaini nao kabisa..Acha niumie kimoyoni!..Tuone itakuwaje lakini!huh
 
Ndo mana nimejichimbia huku sitaki kuzomewa na kutolewa mkuku..ha ha!..yani wewe hukati tamaa?! eniwe kama ni huzuni basi Ghana leo wanafunga dimba halafu tufurahie 16'z mpaka fainali..

positively.....ninahakika ghana watapita.....na MKOLONI akifanya mchezo anaondoka kabisaaaaa....
 
hivi yule jamaa German aliyechomoka na kubaki na kipa peke yaje haikuwa offside?
 
Back
Top Bottom