World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Ndio unaamka, kumekucha saa nyingi!.
ndio napata fahamu saa hii...mzima wewe....
vipi dada??mzima....
niko pouwa...haujambo
naona chama lako N.KOREA limepigwa 7 bila nguo juzi heheheeh
weeeee nani awashangilie wale walia hovyo....Portugal ni ndugu wa brazil na mimi ni mchumba wa Paco ujue

Mbona unaishia kuguna tu? Au ndo unasubiri ule msemo kwamba waafrika tunaweza kuwa mabingwa wa world cup ya mambo flani tu?
we subiri utaamini maneno yangu leo
 
Ila sometimes nammind sana kocha aisee........Mbona napenda kuwaweka benchi wataalam na wakongwe kama Stephen Appiah,Suley Muntari na Mathewe Amoah???............Pia kuna bwana mdogo Dominic Adiyah angemjaribu huyu,ni striker mzuri sana hope angewafungia magoli ya ukweli na si yale ya penati ya Asamoah Gyan

hawa makocha kweli wanatuachia maswali kichwani....lkn naona hii squad ya ghana ni ngumu umpange/umuache nani....hawa vijana ni wazuri kwa kweli....mwangalie huyu mtoto wa pele....mwangali prince boateng....mwangalie prince tergoi....halafu dimbani kuna mtoto anaitwa ANNAN wote hao wanaperform na ndio wamewaweka wale wazoefu benchi....
 
hawa makocha kweli wanatuachia maswali kichwani....lkn naona hii squad ya ghana ni ngumu umpange/umuache nani....hawa vijana ni wazuri kwa kweli....mwangalie huyu mtoto wa pele....mwangali prince boateng....mwangalie prince tergoi....halafu dimbani kuna mtoto anaitwa ANNAN wote hao wanaperform na ndio wamewaweka wale wazoefu benchi....

Andre Ayew ni mzuri kwa kumiliki mpira na si kutafuta magoli(kama alivo Muntari).......Kinachotakiwa ni magoli ili Ghana wasonge mbele na si anao ano9chenga twawala) ndo maana utaona mechi zote wamefunga magoli ya penati na si ya kutafuta.....Kwa mechi kama ya leo na Germany Muntari,Amoah na Appiah walipaswa kuanza...Hawa madogo wangekuwa wanaingizwa dakika 20 za mwisho....Let's wait and see
 
Ghana naona wanachezea draw kitu ambacho kibaya sana.

dakika 45 zimekatika kama utani haya kipindi cha pili kije "ITS TIME FOR AFRICA".
 
Kocha nae anapiga alama ya msalaba usoni baada ya kumaliza kipindi cha kwanza ... kwamba ngwe ya kwanza imeisha salama! Kaazi kweli kweli.
 
Ghana watafute kocha wa washambuliaji (wanaweza wakaachana na kocha wa makipa).
 

Loading...

Ghana supporters cheer before the World Cup group D soccer match between Ghana and Germany at Soccer City in Johannesburg, South Africa, Wednesday, June 23, 2010.
 
Una 'confidence' ya hali ya juu,na iwe mkuu!..wakipita Ghana inabidi tufanye party au?!

BJ, hawa Waghana wana papara sana wakishaingia kwenye 18 walitakiwa wawe mbele at least kwa goli mbili. Kuna matumaini japa leo kwamba Wajerumani wanafungasha na kurudi kwao wakaanze upya kwa 2014.
 
watu mna roho ngumu jamani....hivi hamtaki kukubali tu

Yani wanaongoza kundi lao na tusiwe na matumaini nayo ? ha ha ha kweli hata ku-give up sio kwa stahili hii.

kama hatuna hope na hawa wanaongoza kundi lao basi inamaanisha hatukuwa na matumahini hata kabla mashindano hata kidogo.
"ITS TIME FOR AFRICA"
 
Ghana itabana halafu itaachia dakika tano za mwishoni..Kunradhi ndugu zanguni kwa utabiri huu. ^_^
 
Back
Top Bottom