Workmate anadai katembea na mchumba wangu

Workmate anadai katembea na mchumba wangu

Tandika ujauzito tu atanyooka ..........tena mfululizo kama mpember.................ukishampa watoto kama wanne hivi atakuwa na akili ya kiutu uzima kidogo
 
Mkuu umezngua sana, marafikizo wanakupa taarifa za kiintelijensia halafu bila aibu unawashtaki kwa hilo zungu lako. Na utachapiwa sana maana hakuna namna nyngne sasa
 
Wadau habari zenu, i hope wote mko poa

Mm nina fanya kazi katika organization inayojihusisha na utafiti wa magonjwa ya binadam na afya kwa ujumla, shirika hili linafadhiliwa na nchi moja ya ulaya , hivyo hapa tunapokea wazungu wengi sana sana Watafiti na wanasayansi wa afya kutoka taifa hilo, katika Hali hii vijana wengi hapa kwetu wameoa au kuolewa na wazungu due to that interaction, well, wengine ndoa zimekufa sababu ya kukurupuka wengine bado zipo, pia mahusiano ya kawaida ni mengi ambayo ni interracial

Kuna dada wa kizungu alipofika tu nilipangwa kwenda nae field vijijini, tulikaa huko miezi mitatu kwa research related assignment, in the course of our stay tukajikuta tumekua wapenzi na tukawa tunalala chumba kimoja sehemu tuliyokua tumefikia, hata tuliporudi dar mapenzi yaliendelea, safari iliyofuata vijijini alinisihi sana nimpeleke akawaone wazazi wangu na ndugu kwa ujumla, nikafanya hivyo, ambapo alichinjiwa ng'ombe na kukaribishwa kama malkia, wote mnajua ushamba wa ndugu zetu vijijini waonapo wazungu, yy mwenyewe alifurahi sana kupokelewa vile

Baada ya mwaka nikawa attached na team ya watu wa doctors without borders kwa joint research kwenda Bukina Faso kwa miezi minne, msichana wangu akawa anabadilishiwa watu wa kwenda nao field kwa hiyo miezi minne , Niliporudi, rafiki zangu watatu hapa kazini katika story tu kama marafiki wakaniambia wametembea na Mchumba wangu wakiwa huko field, na kwamba hana hiyana mtu yeyote ukienda nae field wakati wa kulala usiku anakupa penzi, habari hizi waliniambia kila mtu kwa Muda wake, na hivyo kila mmoja hajui kama mwenzie alipata

Taarifa hizi zimeniumiza na kunishtua sana Maana msichana huyu nimemtambulisha kwa wazazi wangu na tulikua kwenye majadiliano kwamba tufunge ndoa lini, yy akawa anadai tufunge June mm nikidai tufunge September maana nataka niwaone na kuwa fahamu wazazi wake kwanza ktk safari tuliyopanga August kwenda kwao, then tukirudi ndipo tufunge ndoa September au October mwanzoni,
Ila yeye akawa analazimisha tufunge ndoa June Bila ndugu zake wala wazazi wake then hiyo September ndipo Twende kwao, wazazi wangu ni kama vile hawaliafiki pendekezo hilo

Nimekuja hapa kuwaomba muongozo wenu kwenye hili maana nimechanganyikiwa Bila kujua cha kufanya sababu ya tuhuma hizi zilizojitokeza wakati sipo, maana wawili kati ya hao wanaodai katembea na Mchumba wangu ni watu very credible na tunaheshimiana sana, in fact wakati wananiambia hawakujua kama mm na yule mzungu tuna uhusiano, ukaribu wa namna hii upo kwa watu wengi hapa kazini, siku zote ninapoulizwa na wenzangu huwa nasema we are just good friends, that's all, juzi ndio nilimwita mmoja wao na kumweleza ukweli maana huyu ni kama ndugu kwangu, hivyo aniambie ukweli halisi wa hilo jambo, ambapo aliniuliza swali moja tu kuwa "" nimewahi kukudanganya kabla? maelezo aliyonipa yanaonekana kujitosheleza maana hata mm mwanzo nilitembea na huyu msichana katika mazingira kama hayo, hao staff wengine wawili huwa ni watu wa mzaha mzaha na walu walu sana na kuongea kwingi hivyo niliwapuuza , lakini huyu mmoja nilieongea nae kwa mara ya pili sio mtu wa kumpuuza kabisa

Hata hivyo Mchumba wangu amekanusha habari hizi na kulia machozi kwa nn nakosa kumwamini na kwamba kwa nn nasikiliza watu wengine na sio yeye, kwamba wanamsingizia hawezi kufanya mambo hayo,
Mm kama mm nashindwa kumwamini tena msichana huyu maana matendo yanayofanywa na wageni wenzie hapa sio mazuri, mgeni akisafiri na wewe kukupa penzi sio kitu kikubwa, wapo ambao wanachanganya watu Bila soni wakiulizwa wanadai wana have fun lakini Hawana wapenzi hapa, Huyu wangu tangu amekuja tabia zake kiukweli ni tofauti na wenzie wote, ndio maana nimekua na relationship nae kwa mwaka mzima na miezi kadhaa, Ingawa tangu amekuja hakuwahi kwenda field na staff mwingine hadi alipokuja kupewa watu wengine nilipoenda bukinabe,

Help Pls

Niachane nae au nicheze tu kamari?
Open relationship 😀
Wazungu mh hata sishangai
 
Mkuu kwanza jiandae tu kisaikolojia Wazungu wengi wanakuja Bongo kwa shughuli zao ila wengi wao haswa kina dada huja na mtazamo kuwa wanaume wa Africa ni wazuri sana kwenye 6*6 na wamejaliwa maumbile makubwa hivyo basi huwafanya kutaka kujaribu jaribu wanaume tofauti...So yawezekana na huyo Gfrnd wako still yuko kwenye research hiyo...Na kiukweli si wachoyo nina kisa chenye ushahidi sana ya hawa Wazungu ila yeye alikuwa ni Mfaransa alikuwa hovyo sana unaweza ua..
Uyu jamaa kamaliza kila kitu, yaan we umekaa na wazungu ata uwajui, usituaibishe bhana, wale wana tifanya cye sex toys na wanajuaga mna washobokea
 
Mnavuozungumzia wazungu as if ni mtu mmoja. Mkiambiwa wanaume hivi mlalamika kuwa wanawajumuisha. Mdada kakuambia muite huyo anayedai katembea naye muongee mkiwa watatu mbona unasita? Hii ya kusingiziwa kuwa umetembea na fulani inatokea sana hasa kwenye male dominated fields. Ilishanikuta, mwingine anasema kabisa fulani ana kovu sehemu fulani ilhali huna. Hivyo search your heart, peaneni muda na mambo yatakaa sawa baadaye. Unaweza acha mke mzuri kwa ajili ya story za kijiweni, wengine wanajuta.
 
Uyu jamaa kamaliza kila kitu, yaan we umekaa na wazungu ata uwajui, usituaibishe bhana, wale wana tifanya cye sex toys na wanajuaga mna washobokea
Naona experts wa wazungi mko wengi kweli.
 
Hahaha ni wazungu mkuu, kuna kitu inaitwa sex tourism, ata uki google tuu una pata kwa apo mi ni expert kw kwli
kwa hiyo kila 'mzungu' anafanya sex tourism? Google pia medical tourism, business tourism Mr Google Expert
 
Kilichokuchanganya ni rangi??? Mbona hata wasichana wazuri hapa wapo? Kama unajipenda achana na huyo binti.

Nina ndugu dr mtu mzima alioa mzunguu na ndoa wakafunga, wakazaa watoto wawili, wakarudi bongo walipofika binti kawa kiruka njia, kila bar anaijua club zote anazijua, kakutana na wazungu wenzake, siku moja dr yupo bongo mzungu akifunga vituuuuuuuu vyoooote akahamia kwa mzungu mwenzie, dr ameishi mwenyewe miaka 8 uzee unaingia ndo anajipanga kuoa mweusi mwenzie. Stuka kama unajipenda.

Una moyo wazungu wanavyonuka midomo umevumilia? Pole sana
 
Kilichokuchanganya ni rangi??? Mbona hata wasichana wazuri hapa wapo? Kama unajipenda achana na huyo binti.

Nina ndugu dr mtu mzima alioa mzunguu na ndoa wakafunga, wakazaa watoto wawili, wakarudi bongo walipofika binti kawa kiruka njia, kila bar anaijua club zote anazijua, kakutana na wazungu wenzake, siku moja dr yupo bongo mzungu akifunga vituuuuuuuu vyoooote akahamia kwa mzungu mwenzie, dr ameishi mwenyewe miaka 8 uzee unaingia ndo anajipanga kuoa mweusi mwenzie. Stuka kama unajipenda.

Una moyo wazungu wanavyonuka midomo umevumilia? Pole sana
Nina kaka yangu MTZ alikuwa anakaa ulaya akaja akaoa MTZ mwenzake akarudi ulaya. Baada ya miaka 10 wakarudi TZ. Mwanamke si akaanza kujirusha na waswahili. Yaani kaka yangu hana hamu. Ilibidi waachane. WATZ sio watu kabisa
 
Daaah mkuu!!!, hakuna concept duniani inakuwa kweli kwa kila mtu , ila hyo kitu ni ya kwa wazungu wengi
Na concept ya wanaume wakitanzania ni wachafu (hawawezi kuwa na mwanamke mmoja) ikoje?
 
Wazungu kumtunikia mwanaume mechi ya kirafiki for funny ni kitu cha kawaida kwao..
 
Na concept ya wanaume wakitanzania ni wachafu (hawawezi kuwa na mwanamke mmoja) ikoje?
Si wote tumia neno baadhi, mbona wanaume wasafi na tunaoheshimu ndoa zetu tumejaa tele..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom