Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
hawa watu....Hapana, hatukua tunatumia kinga, tuliacha kutumia baada ya kupima human immuno diffeciency syndrome (HIV), baadae tuliendelea Bila kinga
Mkuu XA, kaushauri kadoooogo sana " kaa ukijuwa mkijaaliwa kizazi (watoto) in case kwa lolote litokealo kati yenu basi watoto huambulii kitu " Nchi yao na ubalozi wao watawahodhi/watawchukuwa wanao... wewe utaanza upya kuzaa na kulea.. "mungu apishe mbali"
Wish you success happy future