Women know their limits, girls do not

umeongea vyema hata me hua naona kama mtu hajamaliza mambo yake amalize ndoa ni kitu kingine kabisa japo wengi sana huchukulia kama fashion kitu ambacho si sahihi na mpaka mtu anaamua sasa naoa au naolewa that means ameshaona alienae ndo best choice kwake na haoni kwingine ila hapo ukijua nafasi yako katika ndoa inasaidia sana.

Best Choice…? Na michepuko iachwe wapi..? Kama ndoa ilivyogeuka fashion na michepuko vile vile. Humu Jf kuna wanandoa wengi, kama wote wangeweza kufunguka kuhusu habari ya pembeni basi tungepata uhalisia wa kiasi gani taasisi ya ndoa inavyodhihakiwa.

Mtu kwenye harusi yake anaalika mchepuko wake bila soni wala woga! Unajiuliza hivi kwa nini kaoa/kuolewa in the first place…?!

Dunia langilangina!!
 

Attachments

  • 1434406610219.jpg
    1434406610219.jpg
    12.1 KB · Views: 105
dunia ni ile ile ila walimwengu ndo hawana maaana
Best Choice…? Na michepuko iachwe wapi..? Kama ndoa ilivyogeuka fashion na michepuko vile vile. Humu Jf kuna wanandoa wengi, kama wote wangeweza kufunguka kuhusu habari ya pembeni basi tungepata uhalisia wa kiasi gani taasisi ya ndoa inavyodhihakiwa.

Mtu kwenye harusi yake anaalika mchepuko wake bila soni wala woga! Unajiuliza hivi kwa nini kaoa/kuolewa in the first place…?!

Dunia langilangina!!
 
Marriage is a calling just like being a teacher, doctor etc. Ukishajua purpose yako kwenye ndoa basi hutojuta wala hutofanya ujinga kama uliosemwa.

Tatizo ndoa imekuwa kama fashion, tunaingia tu kwenye ndoa simply because umri unaenda na tunataka tu kuvaa shela. So Unaolewa kama kuondoa gundu afu ndani ya siku chache unaanza kuona ndoa kama ni zigo la chuma.
Ingia kwenye ndoa ukimpata mtu sahihi, na ukiwa na utayari kabisa wa nafsi wa kuingia kwenye ndoa na ukiwa mature enough kuhimili mikikimikiki ya ndoa.
Its true my dear sis
 
Umenena vzr mkuu. Haipendezi mke wa mtu kujiunga na mitandao km hiyo. Lkn kuna hili jambo la mawasiliano ndani ya nyumba. Mwanaume anajifanya busy na kushikilia hii hoja ya kuwa " sisi ni mke na mume na sio gal friend na bf" hapo hapo yeye anawasiliana na watu mbalimbali lkn mke wake akimtumia sms kwenye wasap hata kujibu hajibu anadai yupo busy na mda wote yupo online. Wewe mwanaume pia angalia kama ni chanzo cha mkeo kuchat na watu wengine na SIO KULAUM TU. NDOA SIO GEREZA
 
Umenena vzr mkuu. Haipendezi mke wa mtu kujiunga na mitandao km hiyo. Lkn kuna hili jambo la mawasiliano ndani ya nyumba. Mwanaume anajifanya busy na kushikilia hii hoja ya kuwa " sisi ni mke na mume na sio gal friend na bf" hapo hapo yeye anawasiliana na watu mbalimbali lkn mke wake akimtumia sms kwenye wasap hata kujibu hajibu anadai yupo busy na mda wote yupo online. Wewe mwanaume pia angalia kama ni chanzo cha mkeo kuchat na watu wengine na SIO KULAUM TU. NDOA SIO GEREZA
Mi nadhan hapo ni kutojitambua vyema
N believe me hakuna kitu kinaua mahusiano kama mazoea
Hatupaswi kuzoeana kiasi hcho
Nadhan busara ni kumfanya mke/mume/mpenz/gf.bf aonekane mpya kila siku ndo only way unaweza kumtamani
 
Mi nadhan hapo ni kutojitambua vyema
N believe me hakuna kitu kinaua mahusiano kama mazoea
Hatupaswi kuzoeana kiasi hcho
Nadhan busara ni kumfanya mke/mume/mpenz/gf.bf aonekane mpya kila siku ndo only way unaweza kumtamani
Sawa mkuu kama ulivosema kuwa inauma kuona mke/ mmeo anawasiliana sana na ex wake kuliko wewe, lakini ( km nlivosema wanaume) wanakuwa wazito kuwa na mawasiliano ya furaha na wake zao basi mke anaamua kuanza ama kama yalikuwepo basi ndo yanaongeza kasi kuwasiliana na wengine. Hii ni mbaya sana hata story mme hataki lkn akipigiwa sim anatia story hata zaid ya nusu saa. Kwa mkewe ni habari ya ada, chakula, fundi, msiba, uginjwa, mchango wa harusi na yanayo fanana...wanawake wameumbwa kupenda kusikilizwa akiongea kwa hiyo mtu akim ignore anaumia sn moyoni. Sasa relief inapatikana humo mitandaoni.
 
Sawa mkuu kama ulivosema kuwa inauma kuona mke/ mmeo anawasiliana sana na ex wake kuliko wewe, lakini ( km nlivosema wanaume) wanakuwa wazito kuwa na mawasiliano ya furaha na wake zao basi mke anaamua kuanza ama kama yalikuwepo basi ndo yanaongeza kasi kuwasiliana na wengine. Hii ni mbaya sana hata story mme hataki lkn akipigiwa sim anatia story hata zaid ya nusu saa. Kwa mkewe ni habari ya ada, chakula, fundi, msiba, uginjwa, mchango wa harusi na yanayo fanana...wanawake wameumbwa kupenda kusikilizwa akiongea kwa hiyo mtu akim ignore anaumia sn moyoni. Sasa relief inapatikana humo mitandaoni.
Nakuelewa sana mkuu
Na uko right almost 99% I agree with u
Narudia tena hakuna kitu kinaua au kujenga mapenz kama mawasiliano thabiti
Mazoea yanaua mahusiano
 
Nakuelewa sana mkuu
Na uko right almost 99% I agree with u
Narudia tena hakuna kitu kinaua au kujenga mapenz kama mawasiliano thabiti
Mazoea yanaua mahusiano
Sawa mkuu nimekupata. Unazoea na kuona mwenzako hana jipya.
 
Back
Top Bottom